ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,021
- 1,978
Muamerika, Mjapani na Mwafrika
walikuwa wanaoga sehemu moja
ya bafu la wazi.
Mara mlio wa kifaa ukasikia,
mmarekani akanyanyua mkono
... akasema ni mimi nina Microchip
pager in my arm
Ghafla tena simu ikaita , Mjapani
akanyanyua mkono akesema ni
simu yangu inaita, nina
microprocessor in kwenye kwapa
langu.
Mwafrika akaona amefunikwa
sana, akaamua kutoka akaenda
chooni, alivyorudi toilet paper
ilikuwa inaninginia sehemu za
makalio, mjapani na mmarekani
wakamuuliza, ni nini hiyo?
Mwafrika akajibu, napokea
Fax...
.................
walikuwa wanaoga sehemu moja
ya bafu la wazi.
Mara mlio wa kifaa ukasikia,
mmarekani akanyanyua mkono
... akasema ni mimi nina Microchip
pager in my arm
Ghafla tena simu ikaita , Mjapani
akanyanyua mkono akesema ni
simu yangu inaita, nina
microprocessor in kwenye kwapa
langu.
Mwafrika akaona amefunikwa
sana, akaamua kutoka akaenda
chooni, alivyorudi toilet paper
ilikuwa inaninginia sehemu za
makalio, mjapani na mmarekani
wakamuuliza, ni nini hiyo?
Mwafrika akajibu, napokea
Fax...
.................