Waafrika hatuwezi kujisimamia wala kujiletea maendeleo. Tuwalete wazungu watusimamie kwa maelewano

Waafrika hatuwezi kujisimamia wala kujiletea maendeleo. Tuwalete wazungu watusimamie kwa maelewano

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Nitajie nchi moja tu ya Kusini mwa Jangwa la Sahara yenye maendeleo. Hakuna !! South Africa ni kwa mgongo wa makaburu tatizo ni kwamba Mandela aliwaachia mikataba ile ile ya kikoloni ndiocmaana Waafrika wana hali ngumu sana huko, Nigeria imegeuka kuwa nchi ya kuuana kikabila chungu nzima.

Mfano mdogo Botswana wamekua nchi inayokua kwa kasi huku sehemu kubwa ya uchumi ikitegemea almasi tu, waliingia mkataba na wazungu waichimbe kisha kugawana mapato pasu kwa pasu.

Tumeshajaribu sana kufanya mapinduzi, lubadili vyama, kubadili marais, n.k lakini tumejionea hatuna uwezo wa kujisimamia wala kuleta maendeleo.

Tuna asili zetu zimepigwa tatoo kwenye akili kwenye mambo kama ubinafsi wa kujipendelea bila kujali wengine, tamaa, kuchukia ukosoaji, unafki, ulalamishi, kuridhika, n.k.

IMESHINDIKANA!

Kama kweli tunayataka maendeleo waje kutuletea ambao walishaweza toka kitambo.
 
Kabisa mkuu, Ukianzia nyumbani mtu binafsi kujisimamia tu ni ngumu asee
 
Save the pity to yourself.

Waite waje muelewane wakusimamie Familia yako.

Utaumia na makasiriko na Waafrika. Hama ikukubidi.
 
nitajie nchi moja tu ya kusini mwa jangwa la sahara yenye maendeleo ? hakuna !! South Africa ni kwa mgongo wa makaburu tatizo ni kwamba Mandela aliwaachia mikataba ile ile ya kikoloni ndiomaana waafrika wana hali ngumu sana huko, Nigeria imegeuka kuwa bchi ya kuuana kikabila chungu nzima,

mfano mdogo Botswana wamekua nchi inayokua kwa kasi huku sehemu kubwa ya uchumi ikitegemea almasi tu, waliingia mkataba na wazungu waichimbe kisha kugawana mapato pasu kwa pasu,

tuneshajaribu sana kufanya mapinduzi, lubadili vyama, kubadili marais, n.k lakini tumejionea hatuna uwezo wa kujisimamia wala kuleta maendeleo,

tuna asili zetu zimepigwa tatoo kwenye akili kwenye mambo kama ubinafsi wa kujipendelea bila kujali wengine, tamaa, kuchukia ukosoaji, unafki, ulalamishi, kuridhika, n.k.

IMESHINDIKANA !!!

kama kweli tunayataka maendeleo waje kutuletea ambao walishaweza toka kitambo,
 
Kwani hamkumwelewa Joni alipowaambia Ulaya hayupo mjomb'wenu wa kuwaleteeni maendeleo?
 
nitajie nchi moja tu ya kusini mwa jangwa la sahara yenye maendeleo ? hakuna !! South Africa ni kwa mgongo wa makaburu tatizo ni kwamba Mandela aliwaachia mikataba ile ile ya kikoloni ndiomaana waafrika wana hali ngumu sana huko, Nigeria imegeuka kuwa bchi ya kuuana kikabila chungu nzima,

mfano mdogo Botswana wamekua nchi inayokua kwa kasi huku sehemu kubwa ya uchumi ikitegemea almasi tu, waliingia mkataba na wazungu waichimbe kisha kugawana mapato pasu kwa pasu,

tuneshajaribu sana kufanya mapinduzi, lubadili vyama, kubadili marais, n.k lakini tumejionea hatuna uwezo wa kujisimamia wala kuleta maendeleo,

tuna asili zetu zimepigwa tatoo kwenye akili kwenye mambo kama ubinafsi wa kujipendelea bila kujali wengine, tamaa, kuchukia ukosoaji, unafki, ulalamishi, kuridhika, n.k.

IMESHINDIKANA !!!

kama kweli tunayataka maendeleo waje kutuletea ambao walishaweza toka kitambo,
Mapigano..vurugu..vita zote zootee unaziziona Afrika. Mabeberu yapo nyuma .
 
Ukiangalia umasikini tulio nao, raslimali tulizonazo,ni hakika kabisa tumeshindwa kujiongoza,akili ndogo..
 
Kuna muda huwa nafikiri nchi za Africa ziajiri top Financial executives ambao wana track record ya kueleweka na mafanikio kwenye masuala ya uongozi ,uchumi na teknolojia nk na wapewe targets na mikataba na full power ya kuachieve maendeleo katika nchi wanazoongoza.

Huwezi mleta mtu brilliant kama Jarmie Dimon yule jamaa wa JP Morgan aongoze let's say wizara ya fedha then ten years tubaki tulipo.

Sisi ngozi nyeusi wengi hatuna weledi na exposure

Top executives wawe top level na hawa Kenge wengine wachukue levels nyingine huku wakiadapt ethics na utaalamu na exposure ya jinsi uongozi unavyotakiwa kuwa.

Ukiangalia hata leadership structures za nchi nyingi za kiafrika ni za enzi za mkoloni na zisizoreflect mahitaji na kasi ya ulimwengu wa sasa , kanuni na miiko ya uongozi vile vile pia. Kwa mwendo huu, hatutoboi.

kuna kitu tunaweza achieve kuliko hawa mbwa koko wanaoongoza hizi nchi sasa hivi , mfano ni hawa wapuuzi wa ccm hapa Tanzania.
 
Mapigano..vurugu..vita zote zootee unaziziona Afrika. Mabeberu yapo nyuma .
Huo ni uongo kabisa kwa nini sisi tusiwe nyuma ya vita vyao na vipiganwe kwao Ulaya. Waafrika kila uchao ni visingizio tu kuhalalisha upumbavu wao. Bure kabisa.
 
Huo ni uongo kabisa kwa nini sisi tusiwe nyuma ya vita vyao na vipiganwe kwao Ulaya. Waafrika kila uchao ni visingizio tu kuhalalisha upumbavu wao. Bure kabisa.
Acha ubishi wa hovyo...
Hizo silaha ambazo zinatumiwa na rebels sehemu za migogoro unafikiri wanapewa na nani!?
 
Nitajie nchi moja tu ya Kusini mwa Jangwa la Sahara yenye maendeleo. Hakuna !! South Africa ni kwa mgongo wa makaburu tatizo ni kwamba Mandela aliwaachia mikataba ile ile ya kikoloni ndiocmaana Waafrika wana hali ngumu sana huko, Nigeria imegeuka kuwa nchi ya kuuana kikabila chungu nzima.

Mfano mdogo Botswana wamekua nchi inayokua kwa kasi huku sehemu kubwa ya uchumi ikitegemea almasi tu, waliingia mkataba na wazungu waichimbe kisha kugawana mapato pasu kwa pasu.

Tumeshajaribu sana kufanya mapinduzi, lubadili vyama, kubadili marais, n.k lakini tumejionea hatuna uwezo wa kujisimamia wala kuleta maendeleo.

Tuna asili zetu zimepigwa tatoo kwenye akili kwenye mambo kama ubinafsi wa kujipendelea bila kujali wengine, tamaa, kuchukia ukosoaji, unafki, ulalamishi, kuridhika, n.k.

IMESHINDIKANA!

Kama kweli tunayataka maendeleo waje kutuletea ambao walishaweza toka kitambo.
Wazungu hawa hawa ambao mapande ya wanaume wawili na ndevu ni mme na mke?woiiiii tuache kwanza jombaa hilo gari lako hatupo
 
Nitajie nchi moja tu ya Kusini mwa Jangwa la Sahara yenye maendeleo. Hakuna !! South Africa ni kwa mgongo wa makaburu tatizo ni kwamba Mandela aliwaachia mikataba ile ile ya kikoloni ndiocmaana Waafrika wana hali ngumu sana huko, Nigeria imegeuka kuwa nchi ya kuuana kikabila chungu nzima.

Mfano mdogo Botswana wamekua nchi inayokua kwa kasi huku sehemu kubwa ya uchumi ikitegemea almasi tu, waliingia mkataba na wazungu waichimbe kisha kugawana mapato pasu kwa pasu.

Tumeshajaribu sana kufanya mapinduzi, lubadili vyama, kubadili marais, n.k lakini tumejionea hatuna uwezo wa kujisimamia wala kuleta maendeleo.

Tuna asili zetu zimepigwa tatoo kwenye akili kwenye mambo kama ubinafsi wa kujipendelea bila kujali wengine, tamaa, kuchukia ukosoaji, unafki, ulalamishi, kuridhika, n.k.

IMESHINDIKANA!

Kama kweli tunayataka maendeleo waje kutuletea ambao walishaweza toka kitambo.
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    53.6 KB · Views: 5
Acha ubishi wa hovyo...
Hizo silaha ambazo zinatumiwa na rebels sehemu za migogoro unafikiri wanapewa na nani!?
Vikundi vya kigaidi vya kiislam vinapewa silaha na mataifa ya kiislamu ili kupigania jihad na hilo liko wazi na wala halina ubishi.
 
Back
Top Bottom