Waafrika tufumbuke!

Waafrika tufumbuke!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Moja ya kitu kinachoniuma ni kuona huu utahira wa mambo ya ovyo yanayoendelea na ktk hili yanifanya niamini kweli kila mmoja kuna namna yake ya kuona!.

Asili yetu tumeitupa, tunaishi tamaduni za watu weupe na hicho pekee ndio msingi wa wao kuhimiza vitu vyao vya ovyo ktk Jamii zetu!.. kuna vitu vya msingi vya kuiga lkn si vyote.

Hata majina yetu tumeyaficha kwa kutumia majina yao!, haitoshi thamani yetu tumeitupa wenyewe kwa kuiga visivyo asili yetu na bado tusishangae tutaendelea kuletewa vya ovyo mpk tujione makolo!.

Dini zao zimebeba utamaduni wao sisi twajitesa nao wanini..?

Jamii isipofunguka kifikra walahi waafrika tutakuwa watu wa ovyo kuwahi kutokea!.

Nachojua filimbi ya mbiu bado haijachelewa ila wanatuchelewesha ni baadhi yenu wenye vichwa vigumu msiokuwa na fikra pana, wenye mioyo yakutishika, mliofumba bongo zenu msione na wavivu kufikiri hata vitu vidogo vinavyowahusu!.

Nawaandikia hivi mtaendelea kushangaa kwasababu ya upofu wenu na wala sio kwasababu ya ujinga ya hao mnaowaona wajanja, kama wao hawakiogopi walichowaleteeni wanakikanyaga sasa nyinyi kinawatisha nini..?

Joho mlilojivika linatuaibisha na wanafanya hayo sio kwamba hamuoni, mnaona lkn mmekataa kuelewa na kuamua.

Mnaitukanisha jamii yetu, vizazi vijavyo vitalaumu upumbavu wetu ambao kwa wakati huo kwao utakuwa ni mnyororo wa umauti au zimwi liwalao.
 
Moja ya kitu kinachoniuma ni kuona huu utahira wa mambo ya ovyo yanayoendelea na ktk hili yanifanya niamini kweli kila mmoja kuna namna yake ya kuona!.

Asili yetu tumeitupa, tunaishi tamaduni za watu weupe na hicho pekee ndio msingi wa wao kuhimiza vitu vyao vya ovyo ktk Jamii zetu!.. kuna vitu vya msingi vya kuiga lkn si vyote.

Hata majina yetu tumeyaficha kwa kutumia majina yao!, haitoshi thamani yetu tumeitupa wenyewe kwa kuiga visivyo asili yetu na bado tusishangae tutaendelea kuletewa vya ovyo mpk tujione makolo!.

Dini zao zimebeba utamaduni wao sisi twajitesa nao wanini..?

Jamii isipofunguka kifikra walahi waafrika tutakuwa watu wa ovyo kuwahi kutokea!.

Nachojua filimbi ya mbiu bado haijachelewa ila wanatuchelewesha ni baadhi yenu wenye vichwa vigumu msiokuwa na fikra pana, wenye mioyo yakutishika, mliofumba bongo zenu msione na wavivu kufikiri hata vitu vidogo vinavyowahusu!.

Nawaandikia hivi mtaendelea kushangaa kwasababu ya upofu wenu na wala sio kwasababu ya ujinga ya hao mnaowaona wajanja, kama wao hawakiogopi walichowaleteeni wanakikanyaga sasa nyinyi kinawatisha nini..?

Joho mlilojivika linatuaibisha na wanafanya hayo sio kwamba hamuoni, mnaona lkn mmekataa kuelewa na kuamua.

Mnaitukanisha jamii yetu, vizazi vijavyo vitalaumu upumbavu wetu ambao kwa wakati huo kwao utakuwa ni mnyororo wa umauti au zimwi liwalao.
Ngoja nikukasirishe wewe na wengine kama wewe. Waafrika tukisema turudie ya kwetu, ya kwetu yapi? Tutakuwa wajinga na primitive, wajima, washenzi.

Kama ni dini zenye kushawishi watu kuuwa kumbuka katika Afrika wazee wetu walitoa watu kafara ili kuondokana na majanga kama magonjwa, ukame, n.k.

Kama ni dhuluma na uonevu basi Africa ndio nyumbani kwake hadi leo hakuna bara linaloongoza kwa ukosefu wa haki kama Afrika.

Afrika makao makuu ya magonjwa thanks to Wazungu watu walikuwa wanateseka na minyoo mpaka kwenye macho!

Afrika makao makuu ya umaskini. Wazungu waliweza kuja Afrika kwasababu ya maendeleo yao kiuchumi na ki technologia, na leo ndio wanaotuonesha mwanga kuhusu mambo mbalimbali.

Tuache ujinga USHOGA sio uovu mkubwa zaidi Afrika kama tunavyooaminishwa na baadhi ya waafrika wenzetu. Inachukiza ndio lakini ujue kuna umalaya, uzinzi na usagaji. Kwanini watu wanaona ushoga ni uovu zaidi ya UBAKAJI?

Ukristo umekuwa superior na wenye nguvu zaidi ya Uafrika na dini za asili. Wazungu walopokuja Afrika waafrika walitambikia sana na kuwatoa watu wao kafara ili kuiomba mizimu yao iwaambie viumbe hawa wanatoka wapi na kusudi lao ni nini. Imani za mizimu ndio chanzo cha umaskini na utumwa wa mwafrika hadi leo!

Wazungu ni jamii iliyoendelea lakini Nakubaliana kwamba sio malaika. Wazungu wametuvusha karne nyingi za ujinga na ushenzi! Tuna mambo mengi mazuri ya kujifunza kwao basi tuyachukue hayo mazuri na kuyatupilia mbali yale mabaya. Maendeleo ya mwanadamu hupatikana kwa namna hiyo. Karibuni.
 
Mimi nadhani kabla ya wazungu waafrika tulikuwa na namna zetu za kuishi hata kama hakukuwa na teknolojia lakini mambo yalikuwa yanaenda na watu walikuwa wanaomba na wanajibiwa. Lazima tujiulize kwa nini hakuna historia za maisha ya mababu zetu, kwa nini zimefunikwa, tunasikia tuu stori za wageni. Hata mashuleni hatufundishwi historia za muafrika kabla ya ukoloni. Na ndo mana hata elimu zetu hazitusaidii kimaisha baada ya kumaliza shule. Nna uhakika enzi za mababu kulikua na vichwa na watu wenye ujuzi mkubwa wa kugundua vitu, kwanini hatuna historia hizo. Tuamke waafrika
 
Back
Top Bottom