Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Waafrika dini zetu kuu ni 2, Uislam na Ukristo. Japo dini mbili hizi zinatofautiana ila misingi yake mikuu ni kuleta amani na upendo baina ya watu na si vingine. So kimsingi mifumo yetu ya kiibada ni tofauti ila sababu ya ibada zetu ni kumjua Mungu na kuhubiri amani na upendo baina yetu sisi (usizini, usiibe, usidhulumu, usiue, n.k).
Tuje upande wa pili kutokana na dini hizi kuna watu wanayatumia maandiko kwa maslahi yao ila mitaji mikubwa walio nao ni hawa supporters wao wafuasi wa dini hasa sisi waafrika huku. dini ya Uislamu si dini ya waarabu na dini ya Ukristo si dini ya wazungu hao wayahudi ndo kabisaaa wenyewe wanawakataa wote.
Leo hii muarabu anaua/dhulumu mtu mwengine muislamu anasupport au mzungu/myahudi anaua watu huko mkristo anakuja anasuppott while yeye anafanya kwa maslahi yake, huu ni upumbavu wa viwango vya juu.
Mimi ni muislamu ila simsupport wala kumshobokea muarabu yeyote kama anajiona bora kwa upande wake na mimi najiona bora kwa upande wangu full stop. Muarabu au muislamu yeyote akifanya jambo linalokiuka haki za mtu mwengine sitaweza kumsupport mfano wa alshabab na boko haram wote wale wanayofanya kwa kisingizio cha mafundisho ya uislamu si kweli hakuna mafundisho ya vile.
Tuje kwa ndugu zetu wayahudi hawa ndo wamepata wafuasi wengi kutoka kwa wenzetu wakristo, wenzao wanayatumia maandiko kwa maslahi yao na tulivyo wajinga sisi na watumishi wetu tunawasupport, narudia hakuna dini inayofundisha machafuko na vita ukiona mtu anafanya hayo ameamua yeye kuyafanya na hastahili kusapotiwa, anayofanya israel kwa Palestine ni mambo ya kishetani na ndo ugaidi wenyewe wala si taifa la mungu linaloweza kufanya vile.
Tuje upande wa pili kutokana na dini hizi kuna watu wanayatumia maandiko kwa maslahi yao ila mitaji mikubwa walio nao ni hawa supporters wao wafuasi wa dini hasa sisi waafrika huku. dini ya Uislamu si dini ya waarabu na dini ya Ukristo si dini ya wazungu hao wayahudi ndo kabisaaa wenyewe wanawakataa wote.
Leo hii muarabu anaua/dhulumu mtu mwengine muislamu anasupport au mzungu/myahudi anaua watu huko mkristo anakuja anasuppott while yeye anafanya kwa maslahi yake, huu ni upumbavu wa viwango vya juu.
Mimi ni muislamu ila simsupport wala kumshobokea muarabu yeyote kama anajiona bora kwa upande wake na mimi najiona bora kwa upande wangu full stop. Muarabu au muislamu yeyote akifanya jambo linalokiuka haki za mtu mwengine sitaweza kumsupport mfano wa alshabab na boko haram wote wale wanayofanya kwa kisingizio cha mafundisho ya uislamu si kweli hakuna mafundisho ya vile.
Tuje kwa ndugu zetu wayahudi hawa ndo wamepata wafuasi wengi kutoka kwa wenzetu wakristo, wenzao wanayatumia maandiko kwa maslahi yao na tulivyo wajinga sisi na watumishi wetu tunawasupport, narudia hakuna dini inayofundisha machafuko na vita ukiona mtu anafanya hayo ameamua yeye kuyafanya na hastahili kusapotiwa, anayofanya israel kwa Palestine ni mambo ya kishetani na ndo ugaidi wenyewe wala si taifa la mungu linaloweza kufanya vile.