Project Pundit
Member
- Mar 3, 2022
- 27
- 40
Mafanikio hayatokani na bidii tu, yanatokana na bidii iambatanayo na roho wa mafanikio
Sio kila masikini hana bidii, kuna watu wanabidii ya kazi, ubunifu, na nguvu lakini bado ni masikini
Ukiambatana na roho wachafu, wabaya, hata usomeje, ubunije, ujibidisheje, hutoboi
Waumini wengi wa hao mitume, manabii, makuhani na nini sijui hakuna cha ziada wanachofaidika nacho zaidi ya faraja ya muda wanayopewa na hao wajanja kwa kuwapa maneno yenye kuleta matumaini ya kumaliza matatizo yanayowakabili kwa wakati huo.Katika hali ya kawaida, mtu anayeshinda kanisani kila siku basi hakuna anachochangia kwa kanisa hilo, na kama anachangia basi ana vyanzo kadhaa vingine vimuwezeshayo kupata cha kuchangia kwa kanisa!
Ninachojua, kama kuna wanufaikao ktk kanisa, wao kuhudhuria kanisani kwa huduma, na huhudumia watu tofauti tofauti wasio waumini wa kila siku kwa kanisa hilo!
Kwa wahudumu kuwa kanisani kila siku ni sawa kwa kuwa hiyo kazi kwao ndiyo chanzo chao cha mapato!
I tell you the truth, its not easy for everyone to be busy every day being in the church for nothing, never!
Pesa kibindoniImani rohoni akili kichwani
Unaposema walokole wengi ni maskini jiulize pia wanawezaje kutoa sadaka nyingi ambapo humfanya mchungaji wao aishi maisha ya kifahari.Mimi ni mlokole mzuri tu na ni mzee wa kanisa TAG ila huwa napingana sana na baadhi ya mafundisho na mifumo ya vyuo vya biblia jinsi vinavyo wa shape watu wao. Huwa nawaukiza watu ni kwanini walokole wengi ni masikini? Wale walokole wafukutwa tofaut sana na wakristo huko KKKT au RC MAFUNDISHO ni tatizo sana.
Yan huwa time nyingine unamwangalia mchungaji af unamoima unaona kabisa hapa hamna usalama huko tunapopelekana.
NB
Nimezaliwa Moravian nimekulia UKWATA.
Nabii shillah anawapiga sana kwenye hiki kipande had I huruma wakati yeye anambaiashara yake kibaoMtu huna kazi, huna biashara wala wazo la biashara, huna ujuzi, huna elimu, lakini kila siku unashinda kanisani kumsikiliza Mchungaji anayesema kesho utakua milionea na wewe unasema "Baba napokea/Dady I receive". Huu ni utani.
Kwenu Mbeya sasa vurugu tupuWasukuma wao na miungu ya kigeni ni kama mbingu na ardhi. Wengi hawana dini
Ndy umeandika kinyesi gani hapa?? Nawewe unategemewa Nyumbani kwenu kwa huu uji uliokujaa kichwaniMnaanzaga hivi hivi...mara utafika mahali hata rais na baraza lake utawaona ni wezi tu...ivoivo mpaka baba yako utamuona ni mnyonyaji kwa sababu ana mkwea Mamako kila siku na mama nae apande juu.
Mungu alisema Nabii wa uongo muwajaribuni.......kwa nini waumini wasiwajaribu?? Mpaka nyie watu mseme?....acha uchoyo kila kazi ina faida zake.iwe kubwa au ndogo...kinacho kusumbua wewe ni mafanikio ya watu hao....hamlali miafirika!! Wewe umeshindwa kufika huko sasa unawaonea gere....omba Mungu akupe na wewe au ame kukataa??.......
kinyesi kinajibiwa?.....kula i km umekipenda jibwa koko weyeee!! Waache wahubiriNdy umeandika kinyesi gani hapa?? Nawewe unategemewa Nyumbani kwenu kwa huu uji uliokujaa kichwani
Amen!.Biblia inasema kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa (Mithali 1:7). Tutafute maarifa, tufanye kazi kwa bidii, na tumuabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa kufanya hivyo tutapata MAFANIKIO katika mambo yote tuyafanyayo.