Waafrika tusingetawaliwa tungekuwa wapi hii leo?

Bukoba kulikuwa na bunge la wahaya. Wahaya wangekuwa mbali sana!
 
Ni kweli africa tulikuwa na mifumo yetu ya kiutawala, lakini swali lilipo ni kwamba mifumo ya kiutawala ya machifu ni bora kuliko hizi democrasia zilizopo sasa??

Je katika suala la teknolojia kabla na baada ya ukoloni tumefanya uvumbuzi upi?... je uvumbuzi huo unafanana na teknolojia walizo tuletea wao???

Je suala la afya na matibabu kwa ujumla hali ilikuaje kabla na baada ya ujio wao?

Je masuala ya haki za binadamu na uwepo wa imani potofu baina yetu ulikuwaje kabla na baada ya ujio wao?
 


Hizo hoja ni za msingi sana kujiuliza.
 
Nilidhani ungesema walikuta shule ngapi, barabara za lami ngapi, vituo vya afya vingapi , vyuo vikuu vingapi...


Sisi waafrica akili zimechacha, maendeleo siku zote tunayapima kwa jicho la siasa ??..
Eti walikuta mfumo mzuri Wa siasa , sasa huo mfumo ulisaidia nini
 
Case study nzuri Zanzibar kabla na baada ya kutawaliwa na Tanganyika.


Zanzibar haijatawaliwa na Tanganyika, Zanzibar ilitawaliwa na Sultan, sema Zanzibar imeikaliwa kimabavu na Tanganyika.😁😁😁
 
Case study nzuri Zanzibar kabla na baada ya kutawaliwa na Tanganyika.


Zanzibar haijatawaliwa na Tanganyika, Zanzibar ilitawaliwa na Sultan, sema Zanzibar imeikaliwa kimabavu na Tanganyika.😁😁😁
 
Chagganism discrimination perspectives on the right track [emoji23]
 
Waarabu walitukuta tunavaa hivi


Hii picha ni ilipigwa Mwanza na huyu mama ni mjamzito
 
Afrika kusini imepata uhuru juz juz lkn ina maendeleo kuliko sisi.
Tatizo sio ukoloni
 
Ikulu imejengwa na hao mabeberu.
Reli ilikuwa inatumika poa sana ila mwenyeji aliposhika dola reli ikafa.
Juz nimemsikia waziri akisema anazindua reli ya ARUSHA TO DAR.
haya ni maajabu
 
Wakoloni wangetawala hadi mwaka 2000 nchi ingekuwa mbali sana
Walikaa muda mfupi lkn walijenga kamq vile wanakaa maisha yote.
Lkn leo miradi yetu haidumu.
Kufikia kuzinduliwa tayri ishapata hitilafu.
Angalia barabara....majengo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…