Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Hizi story za kufikirika huwa mnazitoa wapi ?Swali hili ni swali la manung'uniko! Hasa lingilenga hali ya bara la afrika ilivyo kwa sasa kimaendeleo likilinganishwa na mabara mengine.
"Waafrika" Tusingetawaliwa tungekuwa wapi hii leo? Yaani kutawaliwa kwa bara la afrika imekuwa kama "favour" ya hata kuwa na vijimaendeleo kidogo tulivyo navyo!
Amerika iliwakutawaliwa na Waingereza! Na nchi Nyingi sana Duniani zimewahi kutawaliwa na mataifa tofauti tofauti!
Amerika ilianza kuendelea kwa Kasi baada ya Kujitawala yenyewe, mwingereza alikuwa anachuma na Kujenga London tu.
Je? Unafahamu Afrika ilishawahi kuivamia Ulaya na Kuipiga vibaya? Kabla ya kutawaliwa na Wazungu.
Je unafahamu teknolojia za awali kabisa za uvumbuzi zilipatikana Afrika! - Iron technology! irrigation Skills and etc.Kabla ya kutawaliwa na Wazungu.
Nyakati na Mwamko wa fikra unaweza kubadili hali halisi ghafla! Wakwanza akawa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza!
What went wrong?
Tuzidi kupambana na Matamaa ya Madaraka Kisiasa,Kuridhika Mapema na Kukata Tamaa tutawapita haooo.
High Hopes!
Afrika ipi iliwahi kuitawala Ulaya ?