Waafrika tusingetawaliwa tungekuwa wapi hii leo?

Hizi story za kufikirika huwa mnazitoa wapi ?

Afrika ipi iliwahi kuitawala Ulaya ?
 
Wamarekani wa leo ndio wale waingereza walioamua kuishi kwa kukataa remote control ya London. Wakaona wajiwekee utawala wao.
 
Samori toule muafrica alipambana miaka 12 na mfaranca,Leo jaribu bongo ikipige na mturuki tuu tuone Kama tutapambana hata 4 years .
chief mkwava buhehe alikuwa na kiwanda Cha magobole, kiwanda Cha mapanga. Tungekuwa mbali sana ndio maana wanaitwa wanyonyaji
 
Unamwaibisha GODZILLA huko alipo
Hebu kale msasa History Form 2
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie mkuu hapo juu akasome kitabu HOW EUROPE UNDERDEVELOP AFRICA by Walter Rodney alafu aje kusoma upya alichokiandika mwandishi anasema mpaka kufikia karne ya 15 Afrika na Ulaya ilikuwa sawa karibia nyanja zote, sasa mkuu hapo juu sijui amefundishwa na nani huo mtazamo,haya ndio madhara ya kufundishwa na walimu wasiopenda kazi zao .Historia uweza kumfanya mtu aendelee au kumnyong'onyesha mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…