proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Waafrika tuna uchawi wetu wa asili wa kuzuia mtu asifanikiwe au kumuondoa kabisa duniani au kumfanya msukule wa kukuzalishia hela.
Tatizo letu tunautumia vibaya pale unamfanyia ndg jamaa na rafiki asifanikiwe kwa sababu ya wivu yaani unataka we mwenyewe tu,licha ya hivo hao wanaologa hawana mafanikio,kama wanayo hayadumu kwan wanatenda ushetani na Mungu anatenda.
Wenzetu wachina wazungu wahindi wanao na wanautumia kwa manufaa kwa kuvumbua vitu vinavyorahisha maisha ya binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo letu tunautumia vibaya pale unamfanyia ndg jamaa na rafiki asifanikiwe kwa sababu ya wivu yaani unataka we mwenyewe tu,licha ya hivo hao wanaologa hawana mafanikio,kama wanayo hayadumu kwan wanatenda ushetani na Mungu anatenda.
Wenzetu wachina wazungu wahindi wanao na wanautumia kwa manufaa kwa kuvumbua vitu vinavyorahisha maisha ya binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app