Waafrika walifika bara la Amerika miaka mingi kabla ya Columbus.

Waafrika walifika bara la Amerika miaka mingi kabla ya Columbus.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Inasemekana kabla hata ya Yesu waafrika walikuwa wamefika bara la Amerika na kuanzisha ustaarabu huko ulioitwa olmecs. Hawa ndiyo waliwafundisha watu wa Amerika kujenga mapiramidi na kuchonga masanamu makubwa ya mawe.

San_Lorenzo_Colossal_Head_8.jpg
San_Lorenzo_Colossal_Head_10.jpg
800px-San_Lorenzo_Monument_3.jpg
800px-Ornamental_Mask_MET_1978.412.30.jpg



Walipeleka na teknolojia ya kujenga mapiramidi.

800px-La_Venta_Pirámide_cara_sur.jpg


800px-San_Lorenzo_Monument_4_crop.jpg
 
Back
Top Bottom