Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Inasemekana kabla hata ya Yesu waafrika walikuwa wamefika bara la Amerika na kuanzisha ustaarabu huko ulioitwa olmecs. Hawa ndiyo waliwafundisha watu wa Amerika kujenga mapiramidi na kuchonga masanamu makubwa ya mawe.
Walipeleka na teknolojia ya kujenga mapiramidi.
Walipeleka na teknolojia ya kujenga mapiramidi.