Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Oct 23, 2021 #1 Inasemekana kabla hata ya Yesu waafrika walikuwa wamefika bara la Amerika na kuanzisha ustaarabu huko ulioitwa olmecs. Hawa ndiyo waliwafundisha watu wa Amerika kujenga mapiramidi na kuchonga masanamu makubwa ya mawe. Walipeleka na teknolojia ya kujenga mapiramidi.
Inasemekana kabla hata ya Yesu waafrika walikuwa wamefika bara la Amerika na kuanzisha ustaarabu huko ulioitwa olmecs. Hawa ndiyo waliwafundisha watu wa Amerika kujenga mapiramidi na kuchonga masanamu makubwa ya mawe. Walipeleka na teknolojia ya kujenga mapiramidi.
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 Oct 27, 2021 #2 Hakuna fact yoyote inayoonyesha mwafrika alijenga Pyramids,,,sometimes waafrika tunapenda kujipa moyo.
Hakuna fact yoyote inayoonyesha mwafrika alijenga Pyramids,,,sometimes waafrika tunapenda kujipa moyo.
inamankusweke JF-Expert Member Joined Apr 24, 2014 Posts 20,344 Reaction score 21,967 Oct 27, 2021 #3 Dalmine said: Hakuna fact yoyote inayoonyesha mwafrika alijenga Pyramids,,,sometimes waafrika tunapenda kujipa moyo. Click to expand... Pyramid zimeanza kujengwa sudani na wanubi,walipotawala misri wakajenga napo
Dalmine said: Hakuna fact yoyote inayoonyesha mwafrika alijenga Pyramids,,,sometimes waafrika tunapenda kujipa moyo. Click to expand... Pyramid zimeanza kujengwa sudani na wanubi,walipotawala misri wakajenga napo