Waafrika walifika bara la Amerika miaka mingi kabla ya Columbus.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Inasemekana kabla hata ya Yesu waafrika walikuwa wamefika bara la Amerika na kuanzisha ustaarabu huko ulioitwa olmecs. Hawa ndiyo waliwafundisha watu wa Amerika kujenga mapiramidi na kuchonga masanamu makubwa ya mawe.




Walipeleka na teknolojia ya kujenga mapiramidi.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…