Waafrika walikurupuka kudai Uhuru

Waafrika walikurupuka kudai Uhuru

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Wapigania uhuru wa waafrika wanaitwa Simba wa Afrika walikuwa matapeli wakubwa wazee wale.

Nasema waafrika tulikurupuka kudai uhuru hatukuwa na mipango wala nia yoyote ile ya kudai uhuru ni kama tuliendeshwa na mihemko tu kwa yale yaliyokuwa yakitokea nje ya Afrika kwa mataifa ya nje yale yaliyokuwa kinyume na ukoloni harakati zake.

Mataifa mengi ya Asia haya kweli unaweza sema yalikuwa na ile hali ya kusema ukoloni sasa basi tunataka kujisimamia na kujiendeleza ila Afrika kulikuwa na utapeli wa hawa wapigania uhuru kwa ajili ya maslahi yao.

Sehemu kubwa ya Afrika mpaka sasa bado haipo tayari kuwa huru bado kuna kugombania tu mikate utapeli wa kisiasa bado unaendelea si vyama tawala wala si vyama vinavyoitwa vya upinzani.

Waafrika bado kabisa kwa sehemu hatujitambui sijui tatizo ni nini ?

Ukiitazama Afrika ilivyo unakiri kabisa hili bara halikuwa tayari kuwa huru kulifanyika utapeli wa Wafrika wao kwa wao.
 
Kwa mtazamo huo mpaka sasa tunakurupuka kufanya maendeleo wakati wetu Bado maana mijizi Bado ipo
 
Kwamba hao Great Britain ambao wanashindwa mambo yao sasa na Ulaya kwa namna moja au nyingine ndio wangeweza kuendelea na kuendeleza makoloni ?

Wala hawakuhitaji kufanya hivyo sababu sasa hivi tunawapelekea rasilimali na marginalization haijaisha bado inaendelea..., Kubadilisha a Worse Leader na kuweka Worst does not mean mabadiliko hayakuhitajika...

By the way unless wewe ni muhindi, muarabu au mzungu basi kumbuka katika category ulikuwa ni daraja la mwisho (is that what you prefer)? Hata kama ulikuwa muhindi basi ulikuwa a second class...

In short wakati wa ukoloni wa moja kwa moja ulipita it was no longer viable...
 
Mlikurupuka kuingia kwenye mifumo wa wazungu ... Tungebaki na uhuru bila mifumo ya wazungu ,kama hela na elimu.
Haujakatazwa kwenda porini, kutupa hicho ki-Tecno chako na kuishi maisha ya kiporipori pamoja na familia yako. Huyo hautabugudhiwa na hela wala elimu.
 
Kwamba hao Great Britain ambao wanashindwa mambo yao sasa na Ulaya kwa namna moja au nyingine ndio wangeweza kuendelea na kuendeleza makoloni ?

Wala hawakuhitaji kufanya hivyo sababu sasa hivi tunawapelekea rasilimali na marginalization haijaisha bado inaendelea..., Kubadilisha a Worse Leader na kuweka Worst does not mean mabadiliko hayakuhitajika...

By the way unless wewe ni muhindi, muarabu au mzungu basi kumbuka katika category ulikuwa ni daraja la mwisho (is that what you prefer)? Hata kama ulikuwa muhindi basi ulikuwa a second class...

In short wakati wa ukoloni wa moja kwa moja ulipita it was no longer viable...
Hata sasa mimi ni daraja la mwisho hapa nchini hongera wewe upo daraja la kwanza endelea kula mema ya nchi.
 
Wazee wetu walikuwa sahihi kudai uhuru, maana hao wakoloni hawakustahili hata kututawala. Kwa ujanja wao Wakoloni hawakutoa uhuru kamili; walitoa nusu au robo. Tazama Wafaransa wanachofanya kule Afrika magharibi. Wengine tukawekwa chini ya Commonwealth....Why?
 
Kama wanachotufanyia ccm ni heri Wakoloni Wajerumani warudi.

Yaani wanataka tuamini Ethiopia wanaweza wakatuuzia umeme kwa hasara na hawatajali!...Kweli?

Eti kwamba sisi tukitoa umeme hapo Rufiji hadi Arusha ni hasara kuliko umeme wa kutoka Addis Ababa hadi Arusha? Kweli?
 
Nakubaliana na wewe mtoa mada!

Ukiangalia Zimbabwe ya Muingereza na hii ya sasa ni mbingu na ardhi. Ya sasa imechakaa wananchi wamechoka hawafai

Ukiangalia Afrika Kusini ya Mkabulu na hii ya sasa ni mbingu na ardhi. Ya sasa haifai si kimaendeleo si kiusalama.

Same to sisi, Kenya na hata mataifa mengi.

Alafu angalia Australia, Canada, New Zealand ambazo ziliamua kuwa sehemu ya makoloni yao zIlivyo kimaendeleo
 
Wazee wetu walikuwa sahihi kudai uhuru, maana hao wakoloni hawakustahili hata kututawala. Kwa ujanja wao Wakoloni hawakutoa uhuru kamili; walitoa nusu au robo. Tazama Wafaransa wanachofanya kule Afrika magharibi. Wengine tukawekwa chini ya Commonwealth....Why?
Singapore ipo commonwealth.

Nchi gani hapa Afrika inaifikia kakijiinchi kadogo kama Singapore kwa maendeleo ?

Mind you Singapore ina uchumi mkubwa kuliko Afrika mashariki yote
 
Nakubaliana na wewe mtoa mada!

Ukiangalia Zimbabwe ya Muingereza na hii ya sasa ni mbingu na ardhi. Ya sasa imechakaa wananchi wamechoka hawafai

Ukiangalia Afrika Kusini ya Mkabulu na hii ya sasa ni mbingu na ardhi. Ya sasa haifai si kimaendeleo si kiusalama.

Same to sisi, Kenya na hata mataifa mengi.

Alafu angalia Australia, Canada, New Zealand ambazo ziliamua kuwa sehemu ya makoloni yao zIlivyo kimaendeleo
SA ile nchi imeoza tayari
 
Kwamba hao Great Britain ambao wanashindwa mambo yao sasa na Ulaya kwa namna moja au nyingine ndio wangeweza kuendelea na kuendeleza makoloni ?

Wala hawakuhitaji kufanya hivyo sababu sasa hivi tunawapelekea rasilimali na marginalization haijaisha bado inaendelea..., Kubadilisha a Worse Leader na kuweka Worst does not mean mabadiliko hayakuhitajika...

By the way unless wewe ni muhindi, muarabu au mzungu basi kumbuka katika category ulikuwa ni daraja la mwisho (is that what you prefer)? Hata kama ulikuwa muhindi basi ulikuwa a second class...

In short wakati wa ukoloni wa moja kwa moja ulipita it was no longer viable...
Wakoloni hawakwepeki iwe kwa uzuri au ubaya.
Ni ajabu kuingia banking business bila kujua taratibu na kanuni za benki.

Waafrika walio wengi hawakuwa na elimu au upeo wa kufanya uhusiano wa kibiashara na uchumi na makoloni yao ya zamani.

Leo Bora Mali ahitimu uchumi kwa kiwango cha Phd kutoka Oxford arudi Bongo tumpe nchi ATAFEILI TU.Kwa kuwa kilichofanya Mwingereza awe na uchumi mkubwa sio kinachofundishwa.
Utajiri wa Mwingereza ulitokana na UPOLAJI wa mali nyingi kutoka makoloni yake.
 
Kwahyo bora tungeendelea kubadilishana dhahabu kwa chocolate??
 
Back
Top Bottom