The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Walikupotezea malinda yako?Waarabu huchukia sana nyeusi mnaoshobokea dini yao hiyo, huwaona matakataka, wana roho mbaya sana wale, sijui mliingiaje huo mkenge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikupotezea malinda yako?Waarabu huchukia sana nyeusi mnaoshobokea dini yao hiyo, huwaona matakataka, wana roho mbaya sana wale, sijui mliingiaje huo mkenge.
Hata wakisema haita badilisha ushabiki wa mashabiki kuacha kuwashabikiaje'Man city wakisema ushindi huu ni kwaajili ya wazungu na waingereza wewe mweusi sabiki wa Man city utakua na msimamo upi?
alafu mfano wako auendani Man city ni club Moroco ni timu ya taifa!
Sema Watanzania ni wajamaa sio Waafrika embu nenda Kenya,Malawi,Zambia kama utasaidiwa hivyoKiasili waafrika ni wajamaa. Zamani kidogo hapa kwetu uliweza kwenda kijiji chochote ukajitambulisha kuwa unasafiri na unahitaji malazi na ukapewa na chakula na maji ya kuoga. Uzungu ndo unatutoa kwenye ujamaa ila bado upo katika viwango kama hivi vya mpira wa miguu. Ghana inashinda Tanzania tunashangilia. Huenda itafika wakati itapotea na kila mtu atafata mambo yake.
sahihi.akuna kulazimisha mambo kwa utashi wa mtu.ukiweza kushabikia Moroco shabikia huweza piga chini,timu zipo nyingi za kushabikia yanini kujipa masononeko.Hata wakisema haita badilisha ushabiki wa mashabiki kuacha kuwashabikia
Walikupotezea malinda yako?
Mi si mnafiki Waarabu huwa siwaelewi sababu ya ubaguzi wao
Umeona kilichowatokea Wagner?Ubaguzi wao upo mpaka kwenye dini yao....sio mpira tu.
![]()
Umeona kilichowatokea Wagner?
Una akili fupi kama punje ya mchele,unateseka sana.Wanawachukia sana, acheni kuwashobokea...
![]()
Una akili fupi kama punje ya mchele,unateseka sana.
Hao unaowashobokea wewe si ndio wanao promote ushoga kwa nguvu zao zote? hilo ndio linalokupendeza huko? black kila siku wanapigwa shaba US na Police weupe hilo lipo sawa kwako wewe kichwa Panzi? kaa kimya ili kuficha ujinga wako.Ndio ukweli huo, mnawashobokea sana kwa kung'ang'ania mfanane na waarabu na kuvaa mikanzu na mindevu ila huwa wanawaona takataka
![]()
Inawezekana ila Tanzania haijawahi kushinda hivyo hatuna uhakika nalo boss.Tanzania ikishinda Ghana au Morocco haiwezi shangilia kumbukaa
Sawa boss, nimeteleza kama MakambaSema Watanzania ni wajamaa sio Waafrika embu nenda Kenya,Malawi,Zambia kama utasaidiwa hivyo