ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Sijui ni tumerogwa au haya yote ni sababu ya elimu duni au Mungu ndo alivyo tuumba yaani sijui jamii yetu ya kiafrika ina matatizo gani.
Waafrika ndio jamii pekee ambayo utapambana kwa nguvu zako kusoma kwa shida lakini ukipata kazi wanataka mshahara unao upokea uwe wa ukoo mzima.
Waafrika ndo jamii pekee ambayo utapambana peke yako kutafuta mafanikio kwenye maisha yako saa nyingine kuhatarisha mpaka maisha yako ili ufikie hayo mafanikio , lakini baada ya kupata huo utajiri wana razimisha uwe wa ukoo mzima.
Mfano angalia waafrika wanavyo razimisha mafanikio ya Morocco yawe ya waafrika wote.
Tena unakuta jitu zima ambalo kwa kuliangalia utasema ni jitu lenye akili ,lakini unakuta eti lina lalamika kuhusu kauli iliyo tolewa na naodha wa Morocco aliye sema ushindi wa Morocco ni wa na waarabu eti waafrika wamebaguliwa.
Jamaa aliongea ukweli kwa sababu timu yao imeandaliwa na mpaka sasa inahudumiwa kwa pesa za walipa kodi wa Morocco na si za waafrika ,sema tu waafrika ni jamii iliyo zoea kulalamika hata kwenye mambo ya kijinga
Ww unaye razimisha ushindi wa Morocco uwe wa waafrika wote kwa mchango upi ulio wapa mpaka kufikia hayo mafanikio yao?
Morocco inatumia mamilion ya $ ya kodi za wamoroco kuwekeza kwenye kwenye soka kuanzia kujenga viwanja vya kisasa na akademi ,wakati ss huku Tz viwanja vyote CCM imevingangania wakati hata kuviendeleza imeshindwa.
Kama unaishabikia Morocco ishangilie kwa sababu unapenda inavyo cheza au kuna wachezaji unawahusudi lakini sio kwa sababu uchwara eti ni wawa kilishi wa Afrika, ishabikie kama mnavyo shabikia uhispania, Ujerumani,Ubeligiji ambazo hazina uhusiano wowote na waafrika.
Waafirika ni watu tunao penda kupata matokeo hata kama hatujafanya mtihani.
Unakuta mtu hataki uwepo wa single mother mitaani lakini kwenye uzi wa kula tunda kimasihara ana simulia jinsi ambavyo ameshala kula mabinti zaidi ya 7 kimasihara tena bila kondomu.
Waafrika tuache unonko tufanye mambo yetu sisi kama sisi tuache tabia ya kijishikiza nyuma ya jamii nyingine kwa vigezo uchwara.
Waafrika ndio jamii pekee ambayo utapambana kwa nguvu zako kusoma kwa shida lakini ukipata kazi wanataka mshahara unao upokea uwe wa ukoo mzima.
Waafrika ndo jamii pekee ambayo utapambana peke yako kutafuta mafanikio kwenye maisha yako saa nyingine kuhatarisha mpaka maisha yako ili ufikie hayo mafanikio , lakini baada ya kupata huo utajiri wana razimisha uwe wa ukoo mzima.
Mfano angalia waafrika wanavyo razimisha mafanikio ya Morocco yawe ya waafrika wote.
Tena unakuta jitu zima ambalo kwa kuliangalia utasema ni jitu lenye akili ,lakini unakuta eti lina lalamika kuhusu kauli iliyo tolewa na naodha wa Morocco aliye sema ushindi wa Morocco ni wa na waarabu eti waafrika wamebaguliwa.
Jamaa aliongea ukweli kwa sababu timu yao imeandaliwa na mpaka sasa inahudumiwa kwa pesa za walipa kodi wa Morocco na si za waafrika ,sema tu waafrika ni jamii iliyo zoea kulalamika hata kwenye mambo ya kijinga
Ww unaye razimisha ushindi wa Morocco uwe wa waafrika wote kwa mchango upi ulio wapa mpaka kufikia hayo mafanikio yao?
Morocco inatumia mamilion ya $ ya kodi za wamoroco kuwekeza kwenye kwenye soka kuanzia kujenga viwanja vya kisasa na akademi ,wakati ss huku Tz viwanja vyote CCM imevingangania wakati hata kuviendeleza imeshindwa.
Kama unaishabikia Morocco ishangilie kwa sababu unapenda inavyo cheza au kuna wachezaji unawahusudi lakini sio kwa sababu uchwara eti ni wawa kilishi wa Afrika, ishabikie kama mnavyo shabikia uhispania, Ujerumani,Ubeligiji ambazo hazina uhusiano wowote na waafrika.
Waafirika ni watu tunao penda kupata matokeo hata kama hatujafanya mtihani.
Unakuta mtu hataki uwepo wa single mother mitaani lakini kwenye uzi wa kula tunda kimasihara ana simulia jinsi ambavyo ameshala kula mabinti zaidi ya 7 kimasihara tena bila kondomu.
Waafrika tuache unonko tufanye mambo yetu sisi kama sisi tuache tabia ya kijishikiza nyuma ya jamii nyingine kwa vigezo uchwara.