Tukio lililotokezea hivi karibuni kwa Mmilikiwa Club ya Napoli nchini Italia kuzungumzia kuwa kwa sasa hatapendelea tena kusajili wachezaji kutoka Africa kwa sababu ya kuwa wamekua wakim cost sana inapokuja suala la wao kwenda kucheza AFCON kati kati ya msimu Limegeuzwa na kufanywa kuwa ni jambo la kibaguzi.
Kwenye mitandao ya kijamii Waafrica wamejikusanya kwa wengi mno wakiwa wanaporomosha matusi na kutilisha huruma kuwa huyo mzee amewafanyia Ubaguzi.
Mpaka lini tutaendelea kutia aibu kama hivi? waafrica hatuwezi criticizing wala rejection za aina yoyote ile sisi tunahamishia kwenye Ubaguzi. Siku zote tumekua ni watu wa kutilisha huruma ya kipuuzi tu na kuficha madhaifu yetu kwenye kichaka cha Ubaguzi.
Napoli president slammed for 'lack of respect' to Africa by Nigeria coach Abdallah
Kwenye mitandao ya kijamii Waafrica wamejikusanya kwa wengi mno wakiwa wanaporomosha matusi na kutilisha huruma kuwa huyo mzee amewafanyia Ubaguzi.
Mpaka lini tutaendelea kutia aibu kama hivi? waafrica hatuwezi criticizing wala rejection za aina yoyote ile sisi tunahamishia kwenye Ubaguzi. Siku zote tumekua ni watu wa kutilisha huruma ya kipuuzi tu na kuficha madhaifu yetu kwenye kichaka cha Ubaguzi.
Napoli president slammed for 'lack of respect' to Africa by Nigeria coach Abdallah