Basi wachezaji wetu wasiende kwenye vilabu vyao sababu January ndio league zimechanganya hapo wa kushuka daraja ana pambana kubaki na wa ubingwa ana pambana arafu mchezaji mhimu anaondka huoni ina athari kwenye timu? alf mpira ni vizuri twende pamoja sababu kuna sehemu tuna link dunia nzima