Ndio maana inafikia kipindi wanafunzi wanapigwa, ni kwasababu ya kulazimisha mtu afanye asichokipenda by nature. Kuna shuhuda nyingi sana utazisikia, "Bila viboko nisingeweza shule". Hata wale wanaosoma kwa bidii shuleni ni kwa lengo la kupata vyeti wakiwa na mategemeo ya kimaslahi hasa ajira, sio kwajili ya kupenda kusoma !!
Kwa waafrika issue ya kusoma shule/chuo imekuwa ni kwa ajili ya kupata vyeti hata kwa kukariri bila kujua maana ya kinachosomwa, ushahidi wengi wakimaliz shule hawaji tena kugusa vitabu, hata ile siku ya kumaliza shule/vyuo hufurahi kwa kutupa madaftari, vitini, kuuza vitabu, n.k. ni ishara ya kuutua mzigo uliowachosha ila waliubeba kwajili ya mategemeo ya kimaslahi.
maktaba / library uanachama kwa mwaka ni shilingi elfu kumi tu lakini ni watu wachache sana wanaenda na katika hao asilimia kubwa wanasomea mambo ya shule / chuo wala sio kujisomea vitabu kujiongezea maarifa binafsi, huwezi kuja kusikia malalamiko hata ya vitabu kuwa vya zamani sana ama vichache, jibu rahisi ni kwamba hakuna watu wenye interest ya kujisomea.
Ukija kwa Wazungu hata hata kama kaishia la nne unakuta anapenda kujisomea vitabu kujiongeza maarifa, kila mwezi anaweza kusoma kitabu kimoja. ni kiu ya maarifa !! ipo ndani ya damu yao kama Waafrika tunavyopenda starehe!
Kwa wazungu ni kawaida kuingia nyumba ya mtu unakutana na home library, ama chumbani kuna vitabu kadhaa, ni kwamba tayari huyo mtu kakuzidi maarifa mengi sana, wewe uliepiga msuli kukariri definitions na forumula ili kupata cheti ni ngumu kumkuta kimaarifa.
wanajua kwamba kuna pdf za bure lakini wananunua vitabu kwasababu wanathamini maarifa na kuwapa support waandishi watoe vitabu zaidi.
Kwa waafrika issue ya kusoma shule/chuo imekuwa ni kwa ajili ya kupata vyeti hata kwa kukariri bila kujua maana ya kinachosomwa, ushahidi wengi wakimaliz shule hawaji tena kugusa vitabu, hata ile siku ya kumaliza shule/vyuo hufurahi kwa kutupa madaftari, vitini, kuuza vitabu, n.k. ni ishara ya kuutua mzigo uliowachosha ila waliubeba kwajili ya mategemeo ya kimaslahi.
maktaba / library uanachama kwa mwaka ni shilingi elfu kumi tu lakini ni watu wachache sana wanaenda na katika hao asilimia kubwa wanasomea mambo ya shule / chuo wala sio kujisomea vitabu kujiongezea maarifa binafsi, huwezi kuja kusikia malalamiko hata ya vitabu kuwa vya zamani sana ama vichache, jibu rahisi ni kwamba hakuna watu wenye interest ya kujisomea.
Ukija kwa Wazungu hata hata kama kaishia la nne unakuta anapenda kujisomea vitabu kujiongeza maarifa, kila mwezi anaweza kusoma kitabu kimoja. ni kiu ya maarifa !! ipo ndani ya damu yao kama Waafrika tunavyopenda starehe!
Kwa wazungu ni kawaida kuingia nyumba ya mtu unakutana na home library, ama chumbani kuna vitabu kadhaa, ni kwamba tayari huyo mtu kakuzidi maarifa mengi sana, wewe uliepiga msuli kukariri definitions na forumula ili kupata cheti ni ngumu kumkuta kimaarifa.
wanajua kwamba kuna pdf za bure lakini wananunua vitabu kwasababu wanathamini maarifa na kuwapa support waandishi watoe vitabu zaidi.