Waafrika wenye akili ni wachache sana; tunaongozwa na kuzungukwa na wapumbavu

Waafrika wenye akili ni wachache sana; tunaongozwa na kuzungukwa na wapumbavu

Emmanuel180

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2019
Posts
342
Reaction score
626
Samahani kwa kichwa ambacho kina ukakasi kama utakua umeudhika naomba unywe maji ukae pembeni na glasi ya maji baridi upunguze hasira

Bara hili la watu weusi ni kama lina laana vile inshort watu weusi kama wana laana vile achilia mbali bara hili kuna watu wa carribean countries kama cuba,haiti na Jamaica ambao nilitegemea wao kwa position waliokuwelo wanaweza kua na maendeleo lakini waaapi? Afrika kusini wapo ulimwengu wa pili lakini uchumi wao woote unamilikiwa na wazungu je? Sisi ni wajinga, wapumbavu au tuna laana?

Na baya zaidi akijiyokeza kiongozi anayejitoa kwa ajili yetu tunakua warahisi kuingiliwa na wazungu kutuaminisha hafai sisi ndio kwanza tunampakaza matope mwisho wa siku tunawapoteza mashujaa wetu.

Lakini nasema hili ni suala la Muda tu ipo siku tukiishiwa kila kitu akili zitatuingia sisi tunajidekeza tu na misaada yaaan tukifanyishwa kazi kidogo tunalia kama ma lastborn mpaka leo mi najiuliza unawwza fanya mazuri elfu 10000 lakini baya 1 linaharibu mazuri yoote uliowahi kuyafanya.

Gaddafi wananchi wa Libya hawakuona umuhimu wake mapka alipokufa lakin baado kuna wa libya wanaamini hakua kiongozi mzuri jealousy tu za ajabu yaan dunia hii mtu anataka raisi awe kama Mungu atimize kila kitu anachotaka kila mtu we ulisikia waap?

Sisi ni binaadamu hakuna alie mkamilifu hata chembe moja tunajitaahidi tu kupunguza mabaya yetu.

Hii dunia kama itaendelea ku exist miaka billion inayokuja naamini Africa bado tutakua nyuma sana sijui shida ni umasikini au uchawi ila anyway am totally disappointed.

Na kama unajiona uko na negativiy kaa nazo kalia unywe maji mambo ya kujikuta malaika kwenye comments kaa nayo kwenu jinga kabisaa
 
Hao wanaojiita wazalendo ni na dictators wanaowaua wananchi wenzao kisa wana mawazo tofauti na wao! MwAfrica adui yake ni MwAfrica mwenziye.

Angalia wanaoongoza Tanganyika wameulizwa juu ya katiba mpya ya wananchi . Wao wanasema hao wanaleta CHOKOCHOKO. Walipodaiwa zaidi wanasema hao ni MAGAIDI!

Hao ndiyo wa Africa . Wanaoongoza na wanaoongozwa hawana tofauti ktk ubinafsi . Na maendeleo tutayaona kwenye TV kutoka ughaibuni
 
Samahani kwa kichwa ambacho kina ukakasi kama utakua umeudhika naomba unywe maji ukae pembeni na glasi ya maji baridi upunguze hasira

Bara hili la watu weusi ni kama lina laana vile inshort watu weusi kama wana laana vile achilia mbali bara hili kuna watu wa carribean countries kama cuba,haiti na Jamaica ambao nilitegemea wao kwa position waliokuwelo wanaweza kua na maendeleo lakini waaapi? Afrika kusini wapo ulimwengu wa pili lakini uchumi wao woote unamilikiwa na wazungu je? Sisi ni wajinga, wapumbavu au tuna laana?

Na baya zaidi akijiyokeza kiongozi anayejitoa kwa ajili yetu tunakua warahisi kuingiliwa na wazungu kutuaminisha hafai sisi ndio kwanza tunampakaza matope mwisho wa siku tunawapoteza mashujaa wetu.

Lakini nasema hili ni suala la Muda tu ipo siku tukiishiwa kila kitu akili zitatuingia sisi tunajidekeza tu na misaada yaaan tukifanyishwa kazi kidogo tunalia kama ma lastborn mpaka leo mi najiuliza unawwza fanya mazuri elfu 10000 lakini baya 1 linaharibu mazuri yoote uliowahi kuyafanya.

Gaddafi wananchi wa Libya hawakuona umuhimu wake mapka alipokufa lakin baado kuna wa libya wanaamini hakua kiongozi mzuri jealousy tu za ajabu yaan dunia hii mtu anataka raisi awe kama Mungu atimize kila kitu anachotaka kila mtu we ulisikia waap?

Sisi ni binaadamu hakuna alie mkamilifu hata chembe moja tunajitaahidi tu kupunguza mabaya yetu.

Hii dunia kama itaendelea ku exist miaka billion inayokuja naamini Africa bado tutakua nyuma sana sijui shida ni umasikini au uchawi ila anyway am totally disappointed.

Na kama unajiona uko na negativiy kaa nazo kalia unywe maji mambo ya kujikuta malaika kwenye comments kaa nayo kwenu jinga kabisaa
mwamba kwani una hasira? Kunywa pepsi baridi.halafu achana na siasa itakuua bure
 
Kwamba ukiwa kiongozi mzuri lazima ukae madarani muda mrefu?

Mtu kama Gadaffi uliyemtaja hapo juu alikaa miaka 42 madarakani je nchi yake hakukuwa na mtu wa kuongoza nchi miaka yote hyo?

Utese watu kwa kuwaweka ndani?

Kwani huwezi kufanya hayo yote bila kuumiza wengine?
 
Tafuta glass ya maji baridi unywe bwashee, kwa hizo hasira naona utapasuka soon
 
Na kama watu weusi wangekuwa na AKILI wasingekubali kutawaliwa au kuongozwa na WAPUMBAVU.
Nchi kama Tanzania ina watu wachache sana wenye akili timamu, ukitaka ujue angalia hoja za viongozi kuhusu katiba mpya ndio utajua wapumbavu wanaongoza kundi la wajinga wengi.
Sio kila Mtanzania ni mpumbavu ila wengi ni wapambavu.
 
Lengo lako ulitaka tu kuzungumzia 'Legacy' ila umejitahidi kadiri iwezekanavyo kutomtaja Mzee wa 'Regacy'! Na badala yake ukatumia mfano wa Gaddaf wa Libya!!

Kimsingi hata kama Magufuli alikuwa na nia njema kiasi gani kwa nchi hii, baadhi ya njia/mbinu alizotumia, ndizo zilizo muangusha! Kama sisi Watumishi wa umma, hatuna hamu nae kabisa!!

Miaka sita bila kupandishwa madaraja kwa kisingizio cha kununua ndege, lilikuwa ni jambo lililotuletea maumivu makali sana!
 
Samahani kwa kichwa ambacho kina ukakasi kama utakua umeudhika naomba unywe maji ukae pembeni na glasi ya maji baridi upunguze hasira

Bara hili la watu weusi ni kama lina laana vile inshort watu weusi kama wana laana vile achilia mbali bara hili kuna watu wa carribean countries kama cuba,haiti na Jamaica ambao nilitegemea wao kwa position waliokuwelo wanaweza kua na maendeleo lakini waaapi? Afrika kusini wapo ulimwengu wa pili lakini uchumi wao woote unamilikiwa na wazungu je? Sisi ni wajinga, wapumbavu au tuna laana?

Na baya zaidi akijiyokeza kiongozi anayejitoa kwa ajili yetu tunakua warahisi kuingiliwa na wazungu kutuaminisha hafai sisi ndio kwanza tunampakaza matope mwisho wa siku tunawapoteza mashujaa wetu.

Lakini nasema hili ni suala la Muda tu ipo siku tukiishiwa kila kitu akili zitatuingia sisi tunajidekeza tu na misaada yaaan tukifanyishwa kazi kidogo tunalia kama ma lastborn mpaka leo mi najiuliza unawwza fanya mazuri elfu 10000 lakini baya 1 linaharibu mazuri yoote uliowahi kuyafanya.

Gaddafi wananchi wa Libya hawakuona umuhimu wake mapka alipokufa lakin baado kuna wa libya wanaamini hakua kiongozi mzuri jealousy tu za ajabu yaan dunia hii mtu anataka raisi awe kama Mungu atimize kila kitu anachotaka kila mtu we ulisikia waap?

Sisi ni binaadamu hakuna alie mkamilifu hata chembe moja tunajitaahidi tu kupunguza mabaya yetu.

Hii dunia kama itaendelea ku exist miaka billion inayokuja naamini Africa bado tutakua nyuma sana sijui shida ni umasikini au uchawi ila anyway am totally disappointed.

Na kama unajiona uko na negativiy kaa nazo kalia unywe maji mambo ya kujikuta malaika kwenye comments kaa nayo kwenu jinga kabisaa
Vyama vikongwe kama CCM, KANU, ZANU, etc vimegandisha akili za waafrika sana, ni wakati wa kuvifwagilia mbali, wenzetu walishafanya yao imebaki hapa Tz tuu.
 
Ndo maana wazungu wanatudharau na kutubagua Waafrika tuna nn au kweli tulilaaniwa km historia ya dini inavyoeleza!
 
Hatujalaaniwa ndugu, shida viongozi original huwa hawapewi nafasi!
Ila mapungu kweli yapo mengi kama ZZK, TL, Mbow na yaliyo nyuma yao!
Hili hasa ndilo group linalotuchelewesha sana watz!
 
Lengo lako ulitaka tu kuzungumzia 'Legacy' ila umejitahidi kadiri iwezekanavyo kutomtaja Mzee wa 'Regacy'! Na badala yake ukatumia mfano wa Gaddaf wa Libya!!

Kimsingi hata kama Magufuli alikuwa na nia njema kiasi gani kwa nchi hii, baadhi ya njia/mbinu alizotumia, ndizo zilizo muangusha! Kama sisi Watumishi wa umma, hatuna hamu nae kabisa!!

Miaka sita bila kupandishwa madaraja kwa kisingizio cha kununua ndege, lilikuwa ni jambo lililotuletea maumivu makali sana!
Usitusemee! Mie nina hamu naye! Kama uliona shida si ungeacha kazi?
 
Mleta mada jinga kabisa kwani wewe hujui kutesa kwa zamu??? wkt Misri inatawala ulikuwa Wapi! nani aliwagusa???/ ok wakt Nimrudi anatawala nani aliwaomba uji?? Nebcadneza, Farao! nani aliwauliza????

ndo ulikuwa mda wenu wa kula Bata kenge kabisa!!...... kwani hujui hata neno rahisi kabisa kuwa ''kutesa kwa zamu????

huu muundo wa zamu unaenda kwa zamu kuizunguka Dunia siku ukina china au india imetawala Dunia jua Africa iko mbioni!! km ukifa mapema usitulaumu...jitahidi usife ili ushuhdie
 
Vyama vikongwe kama CCM, KANU, ZANU, etc vimegandisha akili za waafrika sana, ni wakati wa kuvifwagilia mbali, wenzetu walishafanya yao imebaki hapa Tz tuu.
Wee mwehu!! Babu yako aliogopa sirikali ya mwingereza akawa anashinda porini!! leo mzanaki kawakomboa uko nyuma ya key board unaropoka tu kenge kabisa! maoga ndo yalivo
 
Wewe ni mmojawapo wa watu wapumbavu wengi waliozagaa kwenye bara hili.
 
Back
Top Bottom