NGO ya MDH inatuhumiwa kupika takwimu za UKIMWI kwenye mikoa wanayofanya kazi ambayo ni Dar-es-Salaam, Tabora, Geita na Kagera. Wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda mrefu mpaka Maji yalipozidi unga; kuna eneo moja idadi ya watu waliopimwa na kukutwa na virusi vya UKIMWI ni wengi mara mbili kupita...
Wimbi la pili la Corona linalokumba Afrika ni “kali zaidi” kuliko la kwanza, kwa mujibu wa John Nkengasong wa Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC), Aliambia BBC kwamba bara hilo kwa sasa linaripoti maabukizi mapya ya karibu 30,000 kila siku ikilinganishwa na 18,000 katikati ya...
Dozi zote zitatumika mwaka huu, alihaidi mwenyekiti wa AU rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. Idadi hii ni nyongeza ya dozi milioni 600 ambazo zilikuwa zimehaidiwa tayari ambazo bado hazitoshi kutoa chanjo kwa bara zima la Afrika. Kuna wasiwasi kuwa nchi maskini zitachelewa kupata chanjo...
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia , 'Uzazi wa mpango' ambao huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.
Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.
Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!
Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!
Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.
===============================
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"
Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
===============================
Overpopulation is a major cause of most of the world’s problems. Whether it is a question of food shortage, lack of drinking water or energy shortages, every country in the world is affected by it – or will be. Partly thanks to the import of goods from abroad, any particular country is able to...
🏾 *PRAY FOR AFRICA* Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria, by Sussy Vozniak, reporter for Intelicor Press, Vienna. Paris: Secret documents leaked on the fiasco in Burkina Faso expose troubling information on the undercover activities of the American Multi-Billionaire Bill...
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu Wataalamu naombeni majibu. ================= Upungufu wa Kinga Mwilini (kwa...
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today Botha speech 1985 THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South...
Professor Francis A. Boyle categorically stated that USA bio-warfare laboratories in West Africa are the origins of the Ebola epidemic. This led Dr. Paul Craig Roberts, former Assistant Secretary of the Treasury for Economic Policy to ask: ‘Is the US government the master criminal of our time?’...
www.jamiiforums.com
===============================
Update: 05/04/2020
Chanjo ya Corona Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
Hii chanjo ya Corona haitaletwa waziwazi maana wanajua tuneshawashtukia, hivyo wanaweza wakaileta kwa mifumo ya sindano za uzazi pamoja na chanjo zingine tulizozizoea, tuwe nao makini sana
Dozi zote zitatumika mwaka huu, alihaidi mwenyekiti wa AU rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. Idadi hii ni nyongeza ya dozi milioni 600 ambazo zilikuwa zimehaidiwa tayari ambazo bado hazitoshi kutoa chanjo kwa bara zima la Afrika. Kuna wasiwasi kuwa nchi maskini zitachelewa kupata chanjo...
Mabibi na mabwana tumwogope mola aliyetuumba sisi na wote wanaoitwa binadamu. Misahafu ya kikristo inatambua: "Kumpenda jirani yako kama nafsi yako." kuwa ndiyo amri iliyo kuu. Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine? Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu...
Vijana wote mnaolalamika maisha yamekuwa magumu msikimbilie kupata watoto kabla maisha yenu hayajakaa sawa na kuwa katika uwezo mzuri wa kuhudumia watoto(unaweza kuwa na mwenza wako lakini sio lazima mzae) Jaribu kukaa chini ufikirie kama wewe ukiwa peke yako maisha yamekuwa magumu hivyo...
1. Vaccine ni Virus aliyepozwa. Yaani weakened version of virus ambae anaenda kuingizwa kwenye mwili wako ili uzalishe kinga for long term purpose. 2. Utengenezaji wa COVID-19 Vaccine umekuwa ni wa spidi ya Ajabu huku taarifa za viambata vya VACCINE havipo 100% publicly. Kinachoonekana kwenye...
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango
Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?
Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?
Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?
Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie
mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi
Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI
Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani
Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?
Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?
hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya
Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
Mchoraji maarufu wa katuni pale DW nchini Ujerumani ametoa mchoro unaoelezea uhalisia wa yanayo endelea kati ya shirika la afya duniani WHO na wenye maamuzi nchini Tanzania. Je, hii ni sifa kwa taifa?
Shirika la afya duniani WHO limetangaza mpango wa muda kuhusu jinsi nchi zitakavyopewa chanjo za corona mwaka huu, huku Tanzania na Burundi zikiwa hazimo. WHO linasema kuwa chanjo hizo ambazo ni dozi milioni 336 za AstraZeneca/Oxford na Pfizer-BioNTech, zitatolewa kwa muhula wa kwanza na wa...
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya, WHO hapo jana limeridhia chanjo dhidi ya virusi vya corona ya AstraZeneca kuanza kupelekwa kwenye mataifa masikini, baada ya kuithibitisha kwa dharura. Mataifa ya kipato cha chini na cha kati yanatarajiwa kupata dozi ya kwanza ya chanjo mwishoni mwa mwezi...
Kwangu? Isn’t it universal? ; na unazungumzia overpopulation Africa, Tanzania, Dar es salaam, Temeke, mbagala au uwanja wa Taifa, na wakati gani? Asubuhi, mchana, jioni au usiku?
Kwangu? Isn’t it universal? ; na unazungumzia overpopulation Africa, Tanzania, Dar es salaam, Temeke, mbagala au uwanja wa Taifa, na wakati gani? Asubuhi, mchana, jioni au usiku?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.