Leo mtu akizaa hata mtoto mmoja anakua hujui ni kwanini ?
Suala la ugumba halijawahi kutokuwepo. Lipo tangu zamani, au kwasababu kelele za media kuhusu wanawake wasio na watoto kuzidi ndio unahisi ukubwa wa tatizo umeanza leo ?
Wewe kwenu kuna wagumba wangapi ?
Au kwenu hamtumii vitu vya wazungu ?
Kuhusu matatizo wakati wa kujifungua, kunatokana na wajawazito wenyewe kutofanya mazoezi. Njoo miji mikubwa kama Dar ujionee.
Wanawake wakibeba mimba wanakuwa kama wanaumwa, kutwa nzima wamekaa kwenye mikeka mpaka miguu inavimba
Mimi mwenyewe ni mzaliwa wa kijijini, kule wanawake ndio wanafanya kazi. Mwanamke ana mimba lakini ndio anaenda kutafuta kuni milimani, kuchunga ng'ombe, kulima, kupalilia, kuchota maji kwanini apate matatizo wakati wa kujifungua ?
Tena kuna wengine wanafanyaga kazi mpaka mimba zinaharibika.
Ile karne wazungu wanaendesha biashara ya utumwa walipunguza idadi ya waafruka kuwa kiasi cha milioni 20 hadi 30 hivi. Na idadi ya waafruka ilikuwa asilimia 16 ya watu wote duniani. Baada ya utumwa tulishuka hadi 5 asilimia ya watu duniani. Sasa hivi tumerudi asilimia yetu 15 ya watu wote duniani. Kilichfanya mzungu asiue waafruka ni hali ya jews ambayo waliikuta ya joto sana wakaona hilo bora tuwaachie wenyewe weusi wakae .Na Mwenyezi MUNGU apishe mbali baada ya teknolojia kupanda na madawa mengi kugundulika mzungu hatosita kufanya aliyofanya amerika kwa wahindi wekundu na australia kwa waaborigine. Kitendo cha waafruka kukosa amani ni mkakati wa mzungu kupendelea kudhibiti idadi ya waafruka. Vita ya congo sio kwamba ni akili ndogo za mweusi bali wazungu wanaifinance waasi ili wa aendelee kuchimba madini. And believe hakuna kiongozi wa Afrika atakaekuwa na msimamo kama wa hayati Magufuli atakaetawala mpaka akamaliza . Atakufa kea cancer, ama pressure ama moto au ugonjwa wowote. Kule Amerika kusini walikufa marais kama sita si zaidi ndani ya miaka 3 na wote walikuwa wazalendo wanaopinga unyonyaji wa Marekani nchini meal,Hugo Chavez akiwa kinara,alipigwa beam ya mionzi toka satelaiti za Marekani akafa kwa cancer ya uvimbe kichwani. It is a matter of convenience ya mzungu atufute weusi lini au ikionekana kutufuta hakuna benefit kwake atatudhoofisha kwa civil wars za kubumbwa naye halafu atatubakiza na idadi kama ya aborigines na wahindi wekundu. Ghadafi aliuawa na muingereza na mfaransa , kosa ilikuwa ni kutengeneza kugharamia satelaiti ya mawasiliano yadola 500 milioni akawa amekata mrija wa europe ambao kila mwaka walikodisha nchi za Afrika kila mwaka dola mil
400. Hawakuvumilia alipgwa kisingizio cha dictator. Boko Haram ni creation ya mzungu kwa kuwa Ecowas alitaka kinda Jeshi la kutatua civil war kule A. Magharkbi mzunvu akaanzizha kundi kuitoa kwenye reli Nigeria aliyekuwa mpiga chpuo wa Jeshi la A. Magharibi ili adhoofike. Kwa hiyo mtoa mada asibezwe mzunvu hatupendi na atafanya lolote muda ukifika na hasa nahofia Dunia ikfika watu 10 bilioni kinyume na sasa ttuko 7 bilioni . Yajayo yanatisha, kwenye uchumi mzunvu hajui haki zac
Na Chanjo ya Corona ndio hiyo inaletwa kwa lazima, kuna ushahidi gani kwamba chanjo itakayoletwa Afrika ni sawasawa na zile zinazogombaniwa na kusambazwa ulaya na Marekeni? Hizi Chanjo za Covax zina nini ndani yake hadi zigawiwe bure? Ni suala la kuwa makini zaidi..
Na Chanjo ya Corona ndio hii, kuna ushahidi gani kwamba chanjo itakayoletwa Afrika ni sawasawa na zile zinazogombaniwa na kusambazwa ulaya na Marekeni? Hizi Chanjo za Covax zina nini ndani yake hadi zigawiwe bure? Ni suala la kuwa makini zaidi..
Kuna haja ya kukujibu kweli? Mfano unataka nikuletee udhibitisho kwamba afya mbovu inaweza ikasababisha ukashindwa kuendelea kuzaa zaidi ya mtoto mmoja
Hizo takwimu Zipo wizara ya afya.
Unajua tofauti ya Hypothslesis na Conclusion? Nasisitiza, utafiti ufanykike!
Na Chanjo ya Corona ndio hii, kuna ushahidi gani kwamba chanjo itakayoletwa Afrika ni sawasawa na zile zinazogombaniwa na kusambazwa ulaya na Marekeni? Hizi Chanjo za Covax zina nini ndani yake hadi zigawiwe bure? Ni suala la kuwa makini zaidi..
Sasa overpupolation huwa inatokeaje? Mnaweza kuwa na ardhi kubwa na mkawa mko overpopulated, inategemea na mnavyoitumia. Kwa mfano, mji wa Dar es salaam uko overpopulated, unadhani ni kwa nini? Na usitukane tena!
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021. Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid. Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale. Japan wametangaza WIMBI LA TANO...
Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima -- Butiama. Waziri wa...
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia , 'Uzazi wa mpango' ambao huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.
Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.
Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!
Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!
Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.
===============================
Update: 07/07/2019
Rais Magufuli aniunga mkono leo wakati akimpokea Uhuru Kenyatta. Asema haya
"
Nchi zenye watu ndio zenye maendeleo makubwa. China na India zina watu wengi sana. Sisi Tanzania tupo Milioni 55 na kuzaliana sio shida. Watu wakiwa wengi uchumi unakua, bora kuwa na watu wengi wanaofanya kazi. Ndio maana nchi za Ulaya zinaungana"
===============================
Overpopulation is a major cause of most of the world’s problems. Whether it is a question of food shortage, lack of drinking water or energy shortages, every country in the world is affected by it – or will be. Partly thanks to the import of goods from abroad, any particular country is able to...
🏾 *PRAY FOR AFRICA* Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria, by Sussy Vozniak, reporter for Intelicor Press, Vienna. Paris: Secret documents leaked on the fiasco in Burkina Faso expose troubling information on the undercover activities of the American Multi-Billionaire Bill...
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu Wataalamu naombeni majibu. ================= Upungufu wa Kinga Mwilini (kwa...
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today Botha speech 1985 THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W. Botha to his Cabinet. This reprint was written by David G. Mailu for the Sunday Times, a South...
Professor Francis A. Boyle categorically stated that USA bio-warfare laboratories in West Africa are the origins of the Ebola epidemic. This led Dr. Paul Craig Roberts, former Assistant Secretary of the Treasury for Economic Policy to ask: ‘Is the US government the master criminal of our time?’...
www.jamiiforums.com
===============================
Update: 05/04/2020
Chanjo ya Corona Chanjo ya Corona kufanyikia majaribio Afrika - JamiiForums
Hii chanjo ya Corona haitaletwa waziwazi maana wanajua tuneshawashtukia, hivyo wanaweza wakaileta kwa mifumo ya sindano za uzazi pamoja na chanjo zingine tulizozizoea, tuwe nao makini sana
Dozi zote zitatumika mwaka huu, alihaidi mwenyekiti wa AU rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. Idadi hii ni nyongeza ya dozi milioni 600 ambazo zilikuwa zimehaidiwa tayari ambazo bado hazitoshi kutoa chanjo kwa bara zima la Afrika. Kuna wasiwasi kuwa nchi maskini zitachelewa kupata chanjo...
=================================
Update: 23/04/2021
Baada ya kuona tunagomea chanjo ya Corona, sasa wamekuja na hii, wapige mpunga na kutimiza lengo lao kwa lazima
Update: 27/04/2021
Utafiti wabaini waAfrika weusi mimba zao zinaharibika kwa asilimia 40 zaidi ya watu wa asili nyingine. Kwanini? Tunalishwa nini? Tutafakari! View attachment 1765442
================================
Update: 11/05/2021
Eti UNFPA wanaumia sana wanawake wa KiAfrika wakishika mimba zisizotarajiwa?
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima. Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za...
Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021. Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid. Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale. Japan wametangaza WIMBI LA TANO...
Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima -- Butiama. Waziri wa...
Leo kwenye mkutano huko Malawi alipoenda mama yetu raisi wetu amesema lengo ni wananchi wote wachanjwe. Sasa najiuliza ni ndani ya huu mwezi mama alisema chanjo ni hiari anayetaka atachanja na asiyetaka hatachanja. Ipo hivi kwenye Jambo lolote lile hata liwe la umuhimu kiasi gani ni lazima kuwe...
Ndugu yangu, kuwa makini kuamini kile kinachosemwa na wakubwa wa dunia. Kuna watu wanadhani UN au WHO hawawezi kuwa waongo. Hebu nikuulize jambo. Je, unakumbuka Trump alipoamua kwamba Marekani haitatoa tena fedha kwa WHO? (Tazama hapa - Coronavirus: Trump moves to pull US out of World Health...
Chanjo ya COVID-19 inaweza kuathiri uzazi wa wanawake Chanjo ya COVID-19 haitaathiri uzazi. Ukweli ni kwamba chanjo ya COVID-19 inahimiza mwili kuunda nakala za protini ya spaiki inayopatikana kwenye uso wa coronavirus. Hii "inafundisha" kinga ya mwili kupambana na virusi ambavyo vina protini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.