Waafrika weusi sisi tunakwama wapi?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Sio kwamba mnyama nyumbu alipenda kuzaliwa hana akili mbungani hapana ni nature tu iliamua kwa ujinga wake awe kitoeo rahisi kwa wanyama wengine.

Hata sisi kwetu waafrika weusi nature tu imeamua sisi kuzaliwa kama nyumbu kuwa wajinga kupitiliza ili races zingine zinufahike na ujinga wetu.

Binafsi nimejikatia tamaa sioni nuru juu ya jamii yangu ya waafrika weusi mbele naona kiza kizito tu hakuna mabadiliko.

Nature imeamua sisi kuwa hivi tulivyo let's enjoy life hakuna mabadiliko yoyote ndugu zangu.
 
Tukutane hapa Kwa Kitwika tuyajenge mkuu
 
Nakazia, inabidi ifike wakati tukubaliane na hali tu. Waafrika kwa ujumla ni race ya mwisho katika evolution. Ndo maana kwenye history hatukuona nyani mweupe🀣
 
Inasikitisha sana. Kwa mfano utakuta mtu anaishi kwa mlo mmoja lakini anaishabikia CCM hadi mishipa ya shingo inamsimama.
 
Ni nini inafanya watu wawe na akili ndogo hata wasiwe na uwezo wa kufikiri ? IQ.
Aina ya chakula au mazingira ndiyo yanachangia ?
Inategemea akili Gani unayozungumuzia! Kwenye uvumbuzi waafrika walikuwa mstari wa mbele kuvumbua vitu kuliko wazungu. Kwa Elimu ya kawaida waafrika pia wamejitokeza. Kwenye utawala waafrika tumekutwa na utawala wetu wenyewe wa watemi, machifu nk. Kilichotokea na kuharibu ni kutawaliwa. Nikusomeshwa Elimu ya kujiandaa kutawaliwa na wazungu. Mitaala hii Bado ipo katika nchi zetu. Hili ndilo tatizokubwaaaaaaa. Waafrika wanafundishwa historia ya sayansi au teknolojia badala yakutumia teknojoa ya wenzetu walioendelea kugundua ya kwetu. Hebu fikiria na ushangae hakuna nchi ya afrika inayowaza kwenda mwezini Wala kwenye sayari yoyote Ile. Jiulize tutawezaje kumshinda mzungu kama hatukimbii uelekeo unaofanana?? Uongozi wa nchi za kiafrika unakopi na kupesti uongozi wa kikoloni. There is no change at all. Madarasa ya ubunifu ndiyo yafunguliwe Kwa wingi na siyo veta . Kukaririshwa Elimu ya kikoloni haitasaidia. China fisadi ananyongwa afrika je??????
 
Hapo naona akili zimekukaa sawa.
 
Inasikitisha sana. Kwa mfano utakuta mtu anaishi kwa mlo mmoja lakini anaishabikia CCM hadi mishipa ya shingo inamsimama.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimecheka sana aiseh ....hakuna mabadiliko apa let's enjoy this little piece of cake
 
Dah!...haya bhana mkuu....japo umetutukana waafrika wenzako.
 
Unafikiri wazungu wana akili??
Fikiria tena
Wazungu si wote wana akili tofauti yao na sisi ni kua sehemu za maamuzi na uongozi wanaweka watu wenye uwezo mkubwa kuwafanyia maamuzi na kurun uchumi wao!…
Na pia wanapambana kutafuta watu wenye akili kutoka nchi zinazoendelea kushikiria sehemu nyeti.
 
Ukiangalia CHAWA, ukiangalia wanyonge, unakata tamaa kabisa na NYUMBU.
 
......kwa hiyo una maana mtu mweusi ni kiumbe ambaye hajakamilika, au bado anafanya transformation, lini tutakamilika au ndo imeisha hiyo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…