Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kama anakutawala anabadili culture yako basi kakuzidi akili. Mtu ambaye umemzidi akili anakutawala vipi. So unakubaliana na hoja ya mwanzisha thread. Wachina walitawaliwa ila now wamekuwa na akili wanataka kuwatawala hadi wenzao.Inategemea akili Gani unayozungumuzia! Kwenye uvumbuzi waafrika walikuwa mstari wa mbele kuvumbua vitu kuliko wazungu. Kwa Elimu ya kawaida waafrika pia wamejitokeza. Kwenye utawala waafrika tumekutwa na utawala wetu wenyewe wa watemi, machifu nk. Kilichotokea na kuharibu ni kutawaliwa. Nikusomeshwa Elimu ya kujiandaa kutawaliwa na wazungu. Mitaala hii Bado ipo katika nchi zetu. Hili ndilo tatizokubwaaaaaaa. Waafrika wanafundishwa historia ya sayansi au teknolojia badala yakutumia teknojoa ya wenzetu walioendelea kugundua ya kwetu. Hebu fikiria na ushangae hakuna nchi ya afrika inayowaza kwenda mwezini Wala kwenye sayari yoyote Ile. Jiulize tutawezaje kumshinda mzungu kama hatukimbii uelekeo unaofanana?? Uongozi wa nchi za kiafrika unakopi na kupesti uongozi wa kikoloni. There is no change at all. Madarasa ya ubunifu ndiyo yafunguliwe Kwa wingi na siyo veta . Kukaririshwa Elimu ya kikoloni haitasaidia. China fisadi ananyongwa afrika je??????
Tatizo Kwa Sasa si kutawaliwa ni umimi kwenye madaraka yaani utawala wa nchi. Nchi nyingi hazina Dira sahihi. Nchi nyingi zinategemea akili ya kiongozi aliye madarakani badala ya kiongozi kufuata Dira ya watalaamu, anafuata Dira ya yeye kuweko kwenye awamu ya madaraka. Hali hii inafanya nchi kutokuwa kwenye mrengo sahihi wa kimaendeleo. Angalia SA, walikuwa wapi? Na Sasa wako wapi? Dira inasomeka!Mtu kama anakutawala anabadili culture yako basi kakuzidi akili. Mtu ambaye umemzidi akili anakutawala vipi. So unakubaliana na hoja ya mwanzisha thread. Wachina walitawaliwa ila now wamekuwa na akili wanataka kuwatawala hadi wenzao.
Hii ya SA nimempa mfano jamaa kwenye thread fulani nikiwmambia hata kilichopo SA ndicho aliacha mzungu ile nchi wakati wanaikabidhi kwa mweusi ilikuwa imara na inashindana na nchi nyingi za ulaya. Leo watu wanataka kumrudisha zuma ambaye wakati ni rais alikabidhi nchi kwa wahindi. Yani afrika matatizo yetu ni yale yale.Tatizo Kwa Sasa si kutawaliwa ni umimi kwenye madaraka yaani utawala wa nchi. Nchi nyingi hazina Dira sahihi. Nchi nyingi zinategemea akili ya kiongozi aliye madarakani badala ya kiongozi kufuata Dira ya watalaamu, anafuata Dira ya yeye kuweko kwenye awamu ya madaraka. Hali hii inafanya nchi kutokuwa kwenye mrengo sahihi wa kimaendeleo. Angalia SA, walikuwa wapi? Na Sasa wako wapi? Dira inasomeka!
mkuu tafadhali usilinganishe watu wenye ngozi nyeusi wa nchi yako(Tanzania yenye Kilimanjaro,Serengeti,dhahab,bahari,maziwa nk) na waafrika wengine wa ANGOLA,NIGERIA nk!Sio kwamba mnyama nyumbu alipenda kuzaliwa hana akili mbungani hapana ni nature tu iliamua kwa ujinga wake awe kitoeo rahisi kwa wanyama wengine.
Hata sisi kwetu waafrika weusi nature tu imeamua sisi kuzaliwa kama nyumbu kuwa wajinga kupitiliza ili races zingine zinufahike na ujinga wetu.
Binafsi nimejikatia tamaa sioni nuru juu ya jamii yangu ya waafrika weusi mbele naona kiza kizito tu hakuna mabadiliko.
Nature imeamua sisi kuwa hivi tulivyo let's enjoy life hakuna mabadiliko yoyote ndugu zangu.View attachment 3008143
KITU CHA KWANZA WAAFRIKA WANAUMIZWA NA WAAFRIKA WENZAO AMBAO NI WATAWALA.Ni nini inafanya watu wawe na akili ndogo hata wasiwe na uwezo wa kufikiri ? IQ.
Aina ya chakula au mazingira ndiyo yanachangia ?
nyumbu ni wewe ndiyo maana ukajiita mto.Sio kwamba mnyama nyumbu alipenda kuzaliwa hana akili mbungani hapana ni nature tu iliamua kwa ujinga wake awe kitoeo rahisi kwa wanyama wengine.
Hata sisi kwetu waafrika weusi nature tu imeamua sisi kuzaliwa kama nyumbu kuwa wajinga kupitiliza ili races zingine zinufahike na ujinga wetu.
Binafsi nimejikatia tamaa sioni nuru juu ya jamii yangu ya waafrika weusi mbele naona kiza kizito tu hakuna mabadiliko.
Nature imeamua sisi kuwa hivi tulivyo let's enjoy life hakuna mabadiliko yoyote ndugu zangu.View attachment 3008143
Akili mkuu kuna siku wabebaji mizigo walikuwa wanatoa mahindi na kuyapakia mmoja akazidiwa nguvu akaliachiaNi nini inafanya watu wawe na akili ndogo hata wasiwe na uwezo wa kufikiri ? IQ.
Aina ya chakula au mazingira ndiyo yanachangia ?
😄😄😄😄😄😄Inasikitisha sana. Kwa mfano utakuta mtu anaishi kwa mlo mmoja lakini anaishabikia CCM hadi mishipa ya shingo inamsimama.
Sasa hata asipojikatia tamaa unadhani atafanyaje?unadhani ataweza kubadilisha akili za watu bilioni 1?😆Sasa wewe ndio miongoni mwa nyumbu wakubwa. Huko kujikatia tamaa ndo mzizi wa Unyumbu wenyewe.
😆 Wataaluma tunasemaaaSasa hata asipojikatia tamaa unadhani atafanyaje?unadhani ataweza kubadilisha akili za watu bilioni 1?
Nchi zote za Sub-sahara zinafanana kwa mambo mengi sana hatuna utofauti mkubwaM
mkuu tafadhali usilinganishe watu wenye ngozi nyeusi wa nchi yako(Tanzania yenye Kilimanjaro,Serengeti,dhahab,bahari,maziwa nk) na waafrika wengine wa ANGOLA,NIGERIA nk!
Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisaaa
Imeisha hiyo tule ugali maharage tulale tuwaachie wenye akili duniani yao.......kwa hiyo una maana mtu mweusi ni kiumbe ambaye hajakamilika, au bado anafanya transformation, lini tutakamilika au ndo imeisha hiyo.....
Hahaha Mkuu tutabaki hivi hivi lakini Maisha si yanaenda?Binafsi nimejikatia tamaa sioni nuru juu ya jamii yangu ya waafrika weusi mbele naona kiza kizito tu hakuna mabadiliko.
Imani yenyewe sasa wanasali sana ila hawana upendo....ni wauaji, watekaji, wafiraji na Wezi.Hasa swala la imani sisi ni manyumbu yaliyopitiliza unyumbu.