Kwa kweli watu weusi ni vinara wa Uhalifu kwenye nchi za North Africa, Morocco, Algeria , Tunisia. Nazungumza kwa ufahamu kabisa, Wao ndio wauza ngada, Bangi, Matapeli, Hela feki, Wanaingia kwa Visa feki, Passport feki. Kiufupi ishu mbaya zote zinabebwa na wao.
Kiukweli tuna matukio mabaya sana nchi za watu, halafu tunabaki kulalamika na kutilisha huruma tu.