Waafrika weusi wafurushwa Tunisia baada ya amri ya Rais

Are you ok upstairs au ni mental case!?
 
Kwa kweli watu weusi ni vinara wa Uhalifu kwenye nchi za North Africa, Morocco, Algeria , Tunisia. Nazungumza kwa ufahamu kabisa, Wao ndio wauza ngada, Bangi, Matapeli, Hela feki, Wanaingia kwa Visa feki, Passport feki. Kiufupi ishu mbaya zote zinabebwa na wao.

Kiukweli tuna matukio mabaya sana nchi za watu, halafu tunabaki kulalamika na kutilisha huruma tu.
 
Hivi kuna kosa gani kutimua illegal immigrants ndani ya nchi yako? Mbona sisi hapa TZ kila siku tunakamata wasomali na wa Ethiopia? watu weusi tuache kulia lia
 
Are you ok upstairs au ni mental case!?

hehehe hapo sasa unaweza ukamlipukia mtu yeyote kwa bomu...yote hiyo kisa huyo muarabu mnayemuabudu ambaye bila huruma alinyandua katoto.
 
Na sisi tumfikuze kocha wa wananchi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…