Dada 22,
kwanza: angalia user view wa jukwa la siasa alafu linganisha na jukwaa zingine, utaona hujasema kweli.
Pili: hata kama ingekua kweli, I think it is because they can afford it. Huna haja ya kununua gazeti, kua na TV ao kua msomi kwa kujadili maswala ya mapenzi. Cheki latin america, cheki asia, movies zao ni za mapenzi tu, kama sisi. na hata ulaya na america utakuta watu masikini masikini wanaenjoy sana kuangalia movies za mapenzi na kuzungumzia mapenzi.
Tatu: Kwa mtu kujadili maswala ya mandeleo he needs to be exposed to maendeleo ao kufaham kwamba maoni yake yatachukuliwa kwa thamani yake na kufanyiwa kazi. kama sivyo basi ni udaku tu kama ungine coz hana impact. kumbe bora tujikalie MMU hapa, at least tunakua na impact. lol