Waafrika yatupasa kuiangalia vita ya Ethiopia kuliko vita ya Ukraine

Waafrika yatupasa kuiangalia vita ya Ethiopia kuliko vita ya Ukraine

Kibingu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2022
Posts
1,078
Reaction score
1,445
Leo mkuu wa shirika la haki za binadamu ameripoti mauaji ya kutisha na ubakaji huko Ethiopia kqtika majimbo ya Tigray na Afar.

Idadi ya mauaji ya raia na visa vya ubakaji vinatia shaka kama mwafrika alipaswa kuaminika kupewa mamlaka ya kujiongoza mwenyewe.

Ajabu zaidi ni kuwa sisi waafrika tumejikita kushabikia vita za wazungu ambazo zimejaa ustaarabu na hakuna ubakaji, utekaji wala mauaji ya halaiki ya raia.

Waafrika tuamke, tujiangalie kwanza sisi wenyewe na matatizo yanayotuzunguka kabla ya kujiingiza kwenye vita zisizotuhusu.

Asanteni.
 
Vita ya Ukraine inamvuto mkuu,kwa sababu ni mataifa uenye nguvu duniani yanayohasimiana hapo namaanisha marekani na urusi ,hako ka Ukraine ni chambo ,Ila wahusika wa huu mtanange ni marekani na urusi.

Tuache tuendelee kufuatilia nn kitajili huko kwa wenye nguvu, ni wakati wetu na sasa, maana wamezoea kutuongelea Africa kwa majanga na Vita ,so ni zamu yao na ss kuwafuatilia.

Mwenye kugonga cheas na agonge cheas,kwa huu mtanange unaoendelea .
 
Leo mkuu wa shirika la haki za binadamu ameripoti mauaji ya kutisha na ubakaji huko Ethiopia kqtika majimbo ya Tigray na Afar.

Idadi ya mauaji ya raia na visa vya ubakaji vinatia shaka kama mwafrika alipaswa kuaminika kupewa mamlaka ya kujiongoza mwenyewe...
Kwasababu Ethiopia ndo inaongoza kwa mifugo Afrika nzima, sasa kama idadi ya mifugo imehathirika kwa iyo vita itabidi tuiangalie kwa jicho la 3 or else hainaga impact bado
 
Kwasababu Ethiopia ndo inaongoza kwa mifugo Afrika nzima, sasa kama idadi ya mifugo imehathirika kwa iyo vita itabidi tuiangalie kwa jicho la 3 or else hainaga impact bado
Mbona unafikiri mithili ya mifugo? Mifugo ni bora kuliko haki za watu?
 
Back
Top Bottom