[emoji4]Haujafafanua vizuri mkuu je mteja akipata simu yake ndio analipia au inakuwaje
Ebu fanya basi kuniagizia 11 pro max basi[emoji4]
[emoji38] nina hela ya mahali tuEbu fanya basi kuniagizia 11 pro max basi
Ebu ukooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38] nina hela ya mahali tu
ππππππ[emoji38] nina hela ya mahali tu
[emoji28]we ni wangu tuuuEbu ukooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
8+ 64gb 900kPc moja ya IPhone 8+ bei gani?
Nimefurahia kuona umepiga hatua kubwa kutoka kuwa dereva uber hadi kuwa wakala wa kuagiza bidha toka nje, hongera sana na ukumbuke uaminifu ni MTAJIHabari za muda huu!
Rejea kichwa cha habari hapo Juu sisi ni waagizaji wa smartphones kwa gharama nafuu kutoka China specialized kwenye iphone na Samsung.
Mzigo hutumia siku 8-14 kwa maana haizid week 2 unakua ushapata simu yako mpya kabisa na kwa gharama nafuu mno wote tunawakaribisha
Kuanzia iPhone 5s mpka iphone 11pro
Na samsung aina zote
Karibuni sana
Mawasiliano 0753649455
Whatsapp 0718968027
11 max pro 254gb bei gani?8+ 64gb 900k
8+ 256gb 990k
Karibu boss
Asante boss tunapambana kidogo kidogoNimefurahia kuona umepiga hatua kubwa kutoka kuwa dereva uber hadi kuwa wakala wa kuagiza bidha toka nje, hongera sana na ukumbuke uaminifu ni MTAJI
Ni 256gb 2800000/=11 max pro 254gb bei gani?