Teleskopu
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 702
- 767
Ulaya na Marekani kumeanza kujitokeza uhaba wa waajiriwa!
Nirudie tena: Sio uhaba wa kazi, bali uhaba wa wanaotafuta kuajiriwa.
Swali ni kuwa: Watu wameenda wapi?
Makala moja iliyopostiwa juzi tarehe 14/9 inasema:
A survey of nearly 45,000 employers across 43 countries showed 69 per cent of employers reported difficulty filling roles, a 15-year high, according to employment-services provider ManpowerGroup Inc. At the same time, 15 countries -- focused in Europe and North America -- reported their highest hiring intentions since the survey began in 1962.
Maana yake:
Uchunguzi wa karibu waajiri 45,000 kwenye nchi 43 umeonyesha kuwa aslimia 69 ya waajiri wanasema kuna ugumu wa kujaza nafasi, huu ukiwa ni uhaba mkubwa zaidi kushuhudiwa kwa miaka 15, kulingana na mtoa huduma ManpowerGroup Inc. Wakati huohuo, nchi 15 – hususan Ulaya na Marekani – zimeripoti makusudio yao ambayo yamekuwa ni ya juu kabisa ya kutaka kuajiri wafanyakazi tangu uchunguzi uanze 1962.
Unaweza kuisoma hapa: Two-thirds of businesses around the world are struggling to hire - BNN Bloomberg
MASWALI
Haiwezi kuwa ni lockdown kwa sababu lockdown ndiyo inayoleta ugumu wa maisha. Kwa hiyo, ukisema tu unatafuta wafanyakazi, kama ingekuwa ni lockdown, watamiminika ukose pa kuwaweka. Maana hakuna anayependa kukaa nyumbani.
………..
Sasa watu wameenda wapi ndani ya muda mfupi tu?
………..
Read between the lines!!
Kama bado unadhani dunia inapambana na tatizo la kupumua,
THINK SOME MORE!!
Culling!!
Nirudie tena: Sio uhaba wa kazi, bali uhaba wa wanaotafuta kuajiriwa.
Swali ni kuwa: Watu wameenda wapi?
Makala moja iliyopostiwa juzi tarehe 14/9 inasema:
A survey of nearly 45,000 employers across 43 countries showed 69 per cent of employers reported difficulty filling roles, a 15-year high, according to employment-services provider ManpowerGroup Inc. At the same time, 15 countries -- focused in Europe and North America -- reported their highest hiring intentions since the survey began in 1962.
Maana yake:
Uchunguzi wa karibu waajiri 45,000 kwenye nchi 43 umeonyesha kuwa aslimia 69 ya waajiri wanasema kuna ugumu wa kujaza nafasi, huu ukiwa ni uhaba mkubwa zaidi kushuhudiwa kwa miaka 15, kulingana na mtoa huduma ManpowerGroup Inc. Wakati huohuo, nchi 15 – hususan Ulaya na Marekani – zimeripoti makusudio yao ambayo yamekuwa ni ya juu kabisa ya kutaka kuajiri wafanyakazi tangu uchunguzi uanze 1962.
Unaweza kuisoma hapa: Two-thirds of businesses around the world are struggling to hire - BNN Bloomberg
MASWALI
- Je, watu wameenda wapi?
- Je, kazi zimeongezeka?
- Je, ni kwa sababu ya lock-down?
- Na kwa nini huku kwetu ni kinyume - ajira chache waombaji wengi?
- Je, wao wamefanya nini ambacho sisi bado hatujakifanya?
- Je, na sisi tunaelekea kule waliko wenzetu?
Haiwezi kuwa ni lockdown kwa sababu lockdown ndiyo inayoleta ugumu wa maisha. Kwa hiyo, ukisema tu unatafuta wafanyakazi, kama ingekuwa ni lockdown, watamiminika ukose pa kuwaweka. Maana hakuna anayependa kukaa nyumbani.
………..
Sasa watu wameenda wapi ndani ya muda mfupi tu?
………..
Read between the lines!!
Kama bado unadhani dunia inapambana na tatizo la kupumua,
THINK SOME MORE!!
Culling!!