Waajiriwa ndio wana muda gym na Jogging, Wafanyabiashara hawana huo muda

Waajiriwa ndio wana muda gym na Jogging, Wafanyabiashara hawana huo muda

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Kama ukijaribu kuchunguza wahudhuriaji wengi wa Gym na zile Jogging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gym au Jogging.

Mbaya zaidi sasa hao wafanyakazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gym umuone tena, wala Jogging.
 
Kama ukijaribu kuchunguza wahudhuriaji wengi wa Gym na zile Jogging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gym au Jogging.

Mbaya zaidi sasa hao wafanyakazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gym umuone tena, wala Jogging.
Kina Kitenge
 
bIashara unatakiwa uiset,yaan hata kama haupo iende tu

Biashara inayokubana sana ni utumwa
Na maisha yetu Ni utumwa Tosha ama huelewi. Mana wewe Ni mtumwa wa hofu,tamaa mbalimbali,labda uvivu unakuongoza maamuzi fulani. All in all sio kuwa wote Ni wa iyo level unayoongelea so usiwe mtumwa wa ego yako kuona Kama wewe Ni mjanja ama u mwerevu kuliko wengine.

Lowered down ego and arrogance naiona Mana watakutumikisha mno na huku unakataa kuwa maisha sio utumwa.

Ilo tumbo lako lenyewe linataka kula muda wote na like vitu vizuri na vitamu ama utumwa kwa uelewa wako Nini kwako.

Una utumwa wa kupambana upate uwe Elon musk na majumba na ule mbususu dunia yote sio gereza Ilo ndugu kweli.yaani umefungwa sema hujui Kama upo gerezani.
 
Na maisha yetu Ni utumwa Tosha ama huelewi. Mana wewe Ni mtumwa wa hofu,tamaa mbalimbali,labda uvivu unakuongoza maamuzi fulani. All in all sio kuwa wote Ni wa iyo level unayoongelea so usiwe mtumwa wa ego yako kuona Kama wewe Ni mjanja ama u mwerevu kuliko wengine,
Lowered down ego and arrogance naiona Mana watakutumikisha mno na huku unakataa kuwa maisha sio utumwa.
Ilo tumbo lako lenyewe linataka kula muda wote na like vitu vizuri na vitamu ama utumwa kwa uelewa wako Nini kwako.


Una utumwa wa kupambana upate uwe Elon musk na majumba na ule mbususu dunia yote sio gereza Ilo ndugu kweli.yaani umefungwa sema hujui Kama upo gerezani.
uMenikumbusha ule msemo wa MALENGO NI UTUMWA
 
Wafanyabiashara waliofikia mafanikio ya biashara zao kujiendesha hata wakiwa wamelala wapo wenye ratiba ya gym.

Mf Mo Dewji na yule Bwana wa Silent Ocean wanapiga vyuma!
 
Kama ukijaribu chunguza wahudhuriaji wengi wa Gim na zile Joging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gim au Joging.

Mbaya zaiidi sasa hao wafanya kazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gim umuone tena, wala Joging.
Hapa nipo kwenye shamrashamra za kili marathon tangu ijumaa na ofisi yangu haijafungwa weekend yote. Acheni kuwa na mawazo na kufanya mambo kizamani. I can operate from here.
 
We've born free but wherever we're we at chained. Unaweza ukakuta anahangaikia mbususu mwezi wa Pili bado haijangia kiganjani. Yaani Ni utumwa tamaa zetu unataka nyumba ya hivi bado ukishakuwa nayo unataka ya vile.

Yaani we're hardwired dissatisfied with what we have and very hungry with what we don't have.
We're seeking better and perfect life that we never ever achieved. Kuna mkuu wa wilaya anawaza awe waziri. Ama hujamuona Makonda aliacha u rc akaenda kugombea ubunge.


Yaani duniani tu Ni gereza tosha na tuna mitihani mingi inabidi tuivuke
uMenikumbusha ule msemo wa MALENGO NI UTUMWA
 
bIashara unatakiwa uiset,yaan hata kama haupo iende tu

Biashara inayokubana sana ni utumwa
Kama umesoma kitabu cha cash flow quadrant cha Robert Kiyosaki ni kwamba lazima biashara ianze mahala ambapo lazima uwepo full time ili uijue na iweze kusimama. Hatua unayoisema ya biashara kujisimamia hata kama haupo ni hatua ya juu kabisa, ambapo mtu huwa amefikia financial freedom.
 
Back
Top Bottom