muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kwa mpenda mazoezi haijalishi umeajiliwa au umejiajili....ukipata muda ni kukiwasha tu mwanzo mwisho...Afya bora ndio utajiri wa pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ulisema unafunga biashara Kwasababu ya TRAHapa nipo kwenye shamrashamra za kili marathon tangu ijumaa na ofisi yangu haijafungwa weekend yote. Acheni kuwa na mawazo na kufanya mambo kizamani. I can operate from here.
Mo dewji yule pale katika rat8ba yake bize ila ametenga saa moja la kufanya mazoezi.Kama ukijaribu chunguza wahudhuriaji wengi wa Gim na zile Joging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gim au Joging.
Mbaya zaiidi sasa hao wafanya kazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gim umuone tena, wala Joging.
Masharti ya afya ni ujinga!! Wafanyabiashara ndiyo wana hela na muda wa jogging na gym. Ukimbie jogging kazini umeajiriwa utawahi saa ngapi. Mfanyabiashara kajiajiri anajipangia muda wa kuingia na kutoka! Na kaajiri watumishi asipokuwepoMfanyabiashara hana muda wa ujinga ujinga huo
Huo ndio ukweliKama ukijaribu chunguza wahudhuriaji wengi wa Gim na zile Joging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gim au Joging.
Mbaya zaiidi sasa hao wafanya kazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gim umuone tena, wala Joging.
So inahitaji uendeshe kwa simu? Sikiliza biasjara inahitaji mwenye Idea awepo, na sio kuweka shangazi, mke, mjomba, sijui shemeji wasimamie,Biashara ambayo inahitaji uwepo wako si salama.
Kuna watu biashara zao zawafanya hawakutani na familia ie Wauza bidhaa za sokoni, Maduka ya Mangi
Joging ni weekend,Masharti ya afya ni ujinga!! Wafanyabiashara ndiyo wana hela na muda wa jogging na gym. Ukimbie jogging kazini umeajiriwa utawahi saa ngapi. Mfanyabiashara kajiajiri anajipangia muda wa kuingia na kutoka! Na kaajiri watumishi asipokuwepo
Ana uhakika gani?Mwisho wa mwezi mwajiriwa ana uhakika ila mfanya biashara ni juhudi zake, akipoteza mda imekula kwake.
Mo dewji ni levo nyingine yule sio Director kwanza, yaani yule ni Chairman ni kama Mengi, alivyo kuwa, au Dangote, Sasa hio levo ni ya mbali, tuzungumzia hawa wadogoMo dewji yule pale katika rat8ba yake bize ila ametenga saa moja la kufanya mazoezi.
DuubIashara unatakiwa uiset,yaan hata kama haupo iende tu
Biashara inayokubana sana ni utumwa
Mke wa mtu mtamu sana, ukibahatisha huezi acha mkuu..onja kingine ila siyo penzi la mke wa mtuNa wake za watu
Hiyo siyo biashara, ni ujasiriamaliSo inahitaji uendeshe kwa simu? Sikiliza biasjara inahitaji mwenye Idea awepo, na sio kuweka shangazi, mke, mjomba, sijui shemeji wasimamie,
kulala saa 7 usiku kuamka saa 11 asubuhi na kuwai daladala ni gim toshaKama ukijaribu kuchunguza wahudhuriaji wengi wa Gim na zile Joging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gim au Joging.
Mbaya zaidi sasa hao wafanyakazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gim umuone tena, wala Joging.
wewe ujui kutafuta pesa bhana wala ujawai kufanya biashara usinge sema maneno hayoBiashara unatakiwa uiset, yaan hata kama haupo iende tu
Biashara inayokubana sana ni utumwa
Nafikiri huu ni mtazamo wako mwembamba waliojiajiri wengi. Hasa wenye mitaji mizuri na investment za maana hupangilia muda wake awe wapi kwa wakati gani. Manake kuingiza kwake pesa hakutegemei yeye kuwepo cite. Eneo la biashara.Kama ukijaribu kuchunguza wahudhuriaji wengi wa Gim na zile Joging ni wafanya kazi au waajiriwa hao ndio sana wana Muda, Ila mjasiriamali, mtu anakomaaa na products zake pale Kariakoo hawezi kukuelewa na storoes za Gim au Joging.
Mbaya zaidi sasa hao wafanyakazi ikitokea kapigwa chini kazini, hutakaa hata hio Gim umuone tena, wala Joging.