Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Ukweli usemwe.
Kila ninachosema nina ushaidi nacho kwenye familia kuna watu wamejiajiri na wengine wameajiriwa.
Siku nikamcheki aliyeajiriwa ili anikopeshe kiasi fulani akaanza kunambia mambo magumu labda ngoja mwisho wa mwezi sema na hapo mademu mengi. Dukani wananidai kama 100k kwa daah nilichoka.
Ila brother aliyejiajiri akasema ok muda nakutumia,akanitumia nikamaliza jambo. Kuajiriwa bila kujiongeza mtakuja kutusumbua uzeeni huku mtaani.
Mwalimu unastaafu unapewa pesa ya kiinua mgongo unanunua gari afu 22m 😁😁😁 Mtumwa sitaki mimi kama huu.
Kila ninachosema nina ushaidi nacho kwenye familia kuna watu wamejiajiri na wengine wameajiriwa.
Siku nikamcheki aliyeajiriwa ili anikopeshe kiasi fulani akaanza kunambia mambo magumu labda ngoja mwisho wa mwezi sema na hapo mademu mengi. Dukani wananidai kama 100k kwa daah nilichoka.
Ila brother aliyejiajiri akasema ok muda nakutumia,akanitumia nikamaliza jambo. Kuajiriwa bila kujiongeza mtakuja kutusumbua uzeeni huku mtaani.
Mwalimu unastaafu unapewa pesa ya kiinua mgongo unanunua gari afu 22m 😁😁😁 Mtumwa sitaki mimi kama huu.