Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
Baada ya "semaji" kuvurugana na Barbra sasa ni zamu ya Kassim Dewji.
“Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao. Bodi haina nguvu ya kuwawajibisha waajiriwa wao. CEO wa Simba ni kama yupo juu ya Bodi kwa sasa” Kassim Dewji Mjumbe wa Bodi ya Simba SC
#EFM
Kuna shida pale Simba Sc, tena shida kubwa sana. Tuendelee kusubiri, kila kitu kitakuwa wazi.
“Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao. Bodi haina nguvu ya kuwawajibisha waajiriwa wao. CEO wa Simba ni kama yupo juu ya Bodi kwa sasa” Kassim Dewji Mjumbe wa Bodi ya Simba SC
#EFM
Kuna shida pale Simba Sc, tena shida kubwa sana. Tuendelee kusubiri, kila kitu kitakuwa wazi.