Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao

Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao

Hadrianus

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2020
Posts
2,112
Reaction score
5,229
Baada ya "semaji" kuvurugana na Barbra sasa ni zamu ya Kassim Dewji.

“Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao. Bodi haina nguvu ya kuwawajibisha waajiriwa wao. CEO wa Simba ni kama yupo juu ya Bodi kwa sasa” Kassim Dewji Mjumbe wa Bodi ya Simba SC
#EFM

Kuna shida pale Simba Sc, tena shida kubwa sana. Tuendelee kusubiri, kila kitu kitakuwa wazi.
 
Yalisemwa na semaji lao la zamani wakalidhihaki sasa kumekucha sisi yetu macho.
Screenshot_20220531-122445_Instagram.jpg
 
Hawa wazee wanataka kuivuruga Simba. Wanataka kuirudisha timu mikononi mwao! Pamoja na mapungufu ktk uwazi wa uwekezaji lakini bado katiba mpya na mabadiliko hayajaondoa watu wa aina hii kutaka kuendesha timu kienyeji.

Barbra atapigwa zengwe hadi aondoke mwenyewe.
 
Baada ya "semaji" kuvurugana na Barbra sasa ni zamu ya Kassim Dewji.

“Waajiriwa wengi Simba SC hawana taaluma ya ajira zao. Bodi haina nguvu ya kuwawajibisha waajiriwa wao. CEO wa Simba ni kama yupo juu ya Bodi kwa sasa” Kassim Dewji Mjumbe wa Bodi ya Simba SC
#EFM

Kuna shida pale Simba Sc, tena shida kubwa sana. Tuendelee kusubiri, kila kitu kitakuwa wazi.

Naomba Mniambie Seleman Matola ana ujuzi mbinu gani za Mpira?
Ukiachana na Fitina?
 
Msimu mpya wakiwaacha Onyago,Mugalu Kagere ,Wawa tutakutana taifa tutawaondoa kwa nguvu, Mo naye aache ubahili ,unaaza wachezaji bora wawili unaleta magarasa 4 ya bei rahisi
 
Hawa wazee wanataka kuivuruga Simba. Wanataka kuirudisha timu mikononi mwao! Pamoja na mapungufu ktk uwazi wa uwekezaji lakini bado katiba mpya na mabadiliko hayajaondoa watu wa aina hii kutaka kuendesha timu kienyeji.

Barbra atapigwa zengwe hadi aondoke mwenyewe.

Barba ni zero kwenye football management alikuwa anapewa sifa ambazo sio zake wachezaji wengi waliosajiliwa chini yake ni magarasa
 
Hawa wazee wanataka kuivuruga Simba. Wanataka kuirudisha timu mikononi mwao! Pamoja na mapungufu ktk uwazi wa uwekezaji lakini bado katiba mpya na mabadiliko hayajaondoa watu wa aina hii kutaka kuendesha timu kienyeji.

Barbra atapigwa zengwe hadi aondoke mwenyewe.
Mkuu upo sahihi huyo jamaa toka tenda za jezi apewe vunja bei ana makasiriko na huyo dada.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hawa wazee wanataka kuivuruga Simba. Wanataka kuirudisha timu mikononi mwao! Pamoja na mapungufu ktk uwazi wa uwekezaji lakini bado katiba mpya na mabadiliko hayajaondoa watu wa aina hii kutaka kuendesha timu kienyeji.

Barbra atapigwa zengwe hadi aondoke mwenyewe.
Nadhani sasa ndio mtaelewa maana ya Hisa 51% Wanachama na Hisa 49% Mo.
 
Back
Top Bottom