Kwa makisio haka katakugharimu bei gani mkuu hadi finishing?noted
Mimi ningehamisha M/bedroom kwenda ilipo bedroom 2 na hiyo choo ya master iwe ya public na hiyo ya public iwe ya master ili masterbedroom iwe konani kwenye kautulivu fulani ukizingatiwa ndiyo sehemu inakoimarishiwa familia ....privacy reasonsNimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani
View attachment 2534059
Iko poa sana tu,naliona hata kochi lako hapo utakalokuwa unapendelea kukaa...Nimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani
View attachment 2534059
Mimi ningehamisha M/bedroom kwenda ilipo bedroom 2 na hiyo choo ya master iwe ya public na hiyo ya public iwe ya master ili masterbedroom iwe konani kwenye kautulivu fulani ukizingatiwa ndiyo sehemu inakoimarishiwa familia ....privacy reasons
Nimemaznisha locations ziwe switchedchoo ya master ikiwa public watu watakua wanafika na kuona chumba cha mzee ni hichi pengine usiku mtu asikilizie chabo[emoji23]