Waakuu hii ramani inamakosa gani?

Waakuu hii ramani inamakosa gani?

Nominii

Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
99
Reaction score
194
Nimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani

IMG_2130.jpg


BAADA YA MAONI YA WATU NIMEKUJA NA UPDATES YA RAMANI YA PILI HII HAPA

NAYO MNAIONAJE MSICHOKE WAKUU KUNISHAURI


iMarkup_20230305_172727.jpg
 
Nimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani

View attachment 2534059
Mimi ningehamisha M/bedroom kwenda ilipo bedroom 2 na hiyo choo ya master iwe ya public na hiyo ya public iwe ya master ili masterbedroom iwe konani kwenye kautulivu fulani ukizingatiwa ndiyo sehemu inakoimarishiwa familia ....privacy reasons
 
Mimi ningehamisha M/bedroom kwenda ilipo bedroom 2 na hiyo choo ya master iwe ya public na hiyo ya public iwe ya master ili masterbedroom iwe konani kwenye kautulivu fulani ukizingatiwa ndiyo sehemu inakoimarishiwa familia ....privacy reasons

choo ya master ikiwa public watu watakua wanafika na kuona chumba cha mzee ni hichi pengine usiku mtu asikilizie chabo[emoji23]
 
Back
Top Bottom