View attachment 2538224Hapo wawekee mabinti zako choo chao, wawe huru.
Mil1.6 ya ramani au ya Nini?we mzaramo.Toa ufafanuzi.Iko vzr ndugu yng, Hapo unaongeza toilet tu kweny bedroom 2, baaasi umemaliza.
Nipe kazi hiyo, ofa yangu ni 1.6M kwa dsm na pwani
Hiyo nzuri sio chumba makolokolo kama yoteMtani closet room ni chumba, cha kuvalia. Pia ndiyo unahifadhi nguo, viatu, bags.
Ili master ibaki kama chumba cha kulala tu. Siyo tena makabati ya nguo humo, kuvaa humohumo hapana.
Ndiyo nyumba ni yako una haki master yako iwe kama uwanja wa tenesi ila mbona unawapunja watoto vyumba vyao vinakuwa kama store kisa umewawekea choo!.Nimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani
View attachment 2534059
BAADA YA MAONI YA WATU NIMEKUJA NA UPDATES YA RAMANI YA PILI HII HAPA
NAYO MNAIONAJE MSICHOKE WAKUU KUNISHAURI
View attachment 2538259
Bedroom 2 iwe flush na master bedroom utapata nafasi ya kuongeza choo kitaungana na choo cha publicnimefanya updates itoleee maon ipo kw juu hapo
@HENRY14 njoo umsaidie huyu jamaa anatafta mtaalam wa vipimo iyo raman yakeNimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani
View attachment 2534059
BAADA YA MAONI YA WATU NIMEKUJA NA UPDATES YA RAMANI YA PILI HII HAPA
NAYO MNAIONAJE MSICHOKE WAKUU KUNISHAURI
View attachment 2538259
Lazima utakuwa mtamu maana ni ngumu kwa mwanamke asiyemtamu kuweka kufuri atajifungia baraka zake.Kuna bonge la kufuli pole best [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ramani inaiona simple kwakuwa ni floor sketch sasa ngoja upewe details ndio utajuaNimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani
View attachment 2534059
BAADA YA MAONI YA WATU NIMEKUJA NA UPDATES YA RAMANI YA PILI HII HAPA
NAYO MNAIONAJE MSICHOKE WAKUU KUNISHAURI
View attachment 2538259