waalim wapya wadhurumiwa

waalim wapya wadhurumiwa

Eraldius

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
1,122
Reaction score
912
katika halli isiyo tegemewa waalim walio ripoti katika vituo vyao wameambulia kulipwa pesa ya siku saba ambayo nayo imelipwa kwa baadhi ya almashauri tu kama vile segerema na msoma huku ikisisi tizwa kua hakuna kitakacho lipwa tena.

Mbaya zaidi hakutakuwa na malilpo yamizigo yawaalimu hao hivyo kujikuta wakipokea kiasi cha 315000 kwa wale wa halmashauri zilizoko mjini na 245000 kwa vijijini hii nikwa shahada tu. hali ni mbaya zaidi kwa waalim wa wa stashahada na cheti kwani wepokea chini ya hapo.
 
Kusema kweli hii serikali iko mortuary,jana ndugu yangu kanambia wamekopeshwa pesa na halmashauri tena ya siku 4 na hizo 3 wasubiri kwani hadi wa leo bado serikali haijapeleka pesa za waajiriwa...
 
ndivyo inavyokuwa kila mwaka' bila kuunganisha nguvu na kuandamana hawapati kitu. mwaka jana
walillipwa ela za cku 14 na mizigo
 
katika halli isiyo tegemewa waalim walio ripoti katika vituo vyao wameambulia kulipwa pesa ya siku saba ambayo nayo imelipwa kwa baadhi ya almashauri tu kama vile segerema na msoma huku ikisisi tizwa kua hakuna kitakacho lipwa tena.

Mbaya zaidi hakutakuwa na malilpo yamizigo yawaalimu hao hivyo kujikuta wakipokea kiasi cha 315000 kwa wale wa halmashauri zilizoko mjini na 245000 kwa vijijini hii nikwa shahada tu. hali ni mbaya zaidi kwa waalim wa wa stashahada na cheti kwani wepokea chini ya hapo.

Wanakosa umoja. wakigoma nchi nzima watalipwa, lakini ni woga. halafu wengi ni div 4 ya pt 28, afanye mgomo ana ubavu. Kesho ikitoka sekyula kuwa wote wenye div 4 waliosoma ualimu wamefutwa? We acha tu angalau hicho kidogo!!!
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
katika halli isiyo tegemewa waalim walio ripoti katika vituo vyao wameambulia kulipwa pesa ya siku saba ambayo nayo imelipwa kwa baadhi ya almashauri tu kama vile segerema na msoma huku ikisisi tizwa kua hakuna kitakacho lipwa tena.

Mbaya zaidi hakutakuwa na malilpo yamizigo yawaalimu hao hivyo kujikuta wakipokea kiasi cha 315000 kwa wale wa halmashauri zilizoko mjini na 245000 kwa vijijini hii nikwa shahada tu. hali ni mbaya zaidi kwa waalim wa wa stashahada na cheti kwani wepokea chini ya hapo.

Wanawapelekesha watakavyo wanajua nyie ni waoga sana mkikemewa mnafyata
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Slaa aliwaambia kuwa mkimchagua Kikwete ni janga la taifa hamkusikia mkaenda kumpigia kura. haya matunda hayo yameshaiva
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Kwa sisi walimu inaonekana kwamba ndio daraja la kunyonya zaidi hivyo inahitajika hali ya ziada kukomesha hilo,si mnaona madaktari umoja wao.mimi niliajiriwa 2008 mpaka leo sizijui posho ya kujikimu,na mishahara ya mwezi machi 2008, april 2008, nini nimedai mpaka nimechoka pesa niliyo tumia kufuatilia hizo pese ni nyingi kuliko ninazodai,hapa ni lazima walimu vijana tuamke,tusiogope wala tusitishiwe,hizo pesa za mizigo lazima zitolewe kwani kuna waraka unaoelekeza hivyo,pia walimu watakao pelekwa vijijini Waziri wa elimu alitamka rasmi walimu hao watapewa 500000/=posho ya kujikimu,nilazima maelezo ya tolewe kwa niini mpewe kiasi hicho kidodo cha fedha.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
serikali imekiri bungeni kuwa haina pesa, wavute subira
 
katika halli isiyo tegemewa waalim walio ripoti katika vituo vyao wameambulia kulipwa pesa ya siku saba ambayo nayo imelipwa kwa baadhi ya almashauri tu kama vile segerema na msoma huku ikisisi tizwa kua hakuna kitakacho lipwa tena.

Mbaya zaidi hakutakuwa na malilpo yamizigo yawaalimu hao hivyo kujikuta wakipokea kiasi cha 315000 kwa wale wa halmashauri zilizoko mjini na 245000 kwa vijijini hii nikwa shahada tu. hali ni mbaya zaidi kwa waalim wa wa stashahada na cheti kwani wepokea chini ya hapo.

Mkuu waraka mpya wa 2011 wa kuhusu posho za watumishia wa umma unaelekeza hivyo, kuwa ni siku saba kwa posho ya kujikimu na ni wewe tu siyo mwenza wako wala watoto, mfano kwa shahada ni kwa siku ni sh 65,000 kwa jiji na manispaa, sh 45,000 kwa miji midogo na 35,000 kwa vijijini hivyo piga mahesabu na zingatia kituo chako ni wapi, na hivyo kutokana na waraka huo malipo hayo ni sahihi, hivyo subirini mshahara wa kuanzia na pesa ya mizigo. Na zaidi serikali iliahidi kuwalipa waalimu watakaopangwa vijijini sh 500,000 utekelezaji wake bado. Nakushauri uutafute waraka huo mpya, badala kuanzisha migomo kwani ajira za mwaka wenu huu ni tofauti na walokutangulieni walolipwa kwa siku 14 walikuwa na waraka wao ambao umetenguliwa na waraka wa sasa.
 
Slaa aliwaambia kuwa mkimchagua Kikwete ni janga la taifa hamkusikia mkaenda kumpigia kura. haya matunda hayo yameshaiva

Mbona yeye ni janga la ULIMWENGU au hujui hilo. dakita asiye na digrr ya kwanza!
 
Mkuu waraka mpya wa 2011 wa kuhusu posho za watumishia wa umma unaelekeza hivyo, kuwa ni siku saba kwa posho ya kujikimu na ni wewe tu siyo mwenza wako wala watoto, mfano kwa shahada ni kwa siku ni sh 65,000 kwa jiji na manispaa, sh 45,000 kwa miji midogo na 35,000 kwa vijijini hivyo piga mahesabu na zingatia kituo chako ni wapi, na hivyo kutokana na waraka huo malipo hayo ni sahihi, hivyo subirini mshahara wa kuanzia na pesa ya mizigo. Na zaidi serikali iliahidi kuwalipa waalimu watakao
warka unasemaje kuhusu mizigoo?
 
Mwenye nacho huongezewa na asiyenacho huporwa kile kidogo alichonacho, Mbunge mbali na mshahara mkubwa anaomba kuongezewa posho mwalimu na mshahara wake mdogo wanampunja hata kaposho kiduchu cha msimu.Aibu kwa kikwete na serekali yake.
 
Umesoma waraka wa fedha za kujimu walim wapya? ua ndo nyie mmpewa kwa mdomo tu!..
 
Back
Top Bottom