Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Hizi adhabu za viboko zipigwe marufuku kabisa! Haiingii akilini mwalimu kupiga watoto namna hii kama anapiga mbwa koko. Kama hamna uvumilivu achaneni na kazi hii badala ya kuumiza watoto wetu!
Huyu mwalimu mwehu asakwe popote alipo na apate stahili yake kisheria!
Huyu mwalimu mwehu asakwe popote alipo na apate stahili yake kisheria!