MPEPE333
Member
- Nov 28, 2011
- 31
- 21
exactlyNo reform, poor election
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
exactlyNo reform, poor election
Sikiliza vizuri hiyo clip!mtuma post naona umeishatoa hukumu hata kabla ya kubalance story, huo ni upande mmoja wa mwanafunzi,je mwalimu huyo yuko peke yake tuu katka shule hiyo? hakuna mkuu wa shule,makamu,mtaaluma,mwalimu wa nidhamu,mwalimu wa darasa na wadau wengine hadi apigwe picha huko vichochoroni amefikaje hapo?
hoja ni ipi?Umesema umesoma sekondari?
makahaba tuu hao,kwann wameshindwa kwenda kwa mkuu? kama wamepigwa mtaani ili kuongeza uzito wa case je utajuaje?Sikiliza vizuri hiyo clip!
Sengerema gani hiyo...chaka ipo?Huyu mbona cha mtoto kipind nasoma high-school sengerema pale
Kuna siku mwalimu bhana akanisema kwamba hatujaamka prepo ya satisa usiku
Oya babu tulipigwa fimbo hizo mpaka makalio yakawa yanalia mbwata nilikua nakalia tumbo wiki nzima 😅
Sema ndo hivo mwalimu nimekutana nae juzi tunapiga story
Sehisco mzeeSengerema gani hiyo...chaka ipo?
Iiih jela kabisa loooh !Mimi mwenyewe naona zifutwe fimbo mashuleni , mwanafunzi aje SHULE au asije, afeli au afaulu , asome asisome ni shauri yake na wazazi wake . Ibaki adhabu ya kufukuzwa na ma suspension TU . Kila mtu akapambane na wanae maana walimu wakifaulisha na kuwarudisha kwenye mstari watoto hata husikii vyombo vya habari vikimsifia ila akosee mara moja TU ni jela