😂😂😂Leo nimekuta kesi ya mtoto wa std 5 anataka kupigana na mwalimu
📌📌📌Shida wazazi ni wapumbavu
Wanafunzi wakiwa haina nidhamu mnawalaumu walimu
Wanafunzi wakifeli lawama kwa walimu
NB
ADHABU YA VIBOKO IPO ILA INA UTARATIBU AMBAO ASILIMIA 90 HAUTEKELEZWI NDIO MAANA CHANGAMOTO KAMA HIZO ZINATOKEA
Wewe kenge acha kutukana wazaziShida wazazi ni wapumbavu
Watajuana bwana.Hizi adhabu za viboko zipigwe marufuku kabisa! Haiingii akilini mwalimu kupiga watoto namna hii kama anapiga mbwa koko. Kama hamna uvumilivu achaneni na kazi hii badala ya kuumiza watoto wetu!
Huyu mwalimu mwehu asakwe popote alipo na apate stahili yake kisheria!View attachment 3260238
kipind nasoma
high-school
sengerema pale
mwalimu bhana
Umesema umesoma sekondari?satisa usiku
mtuma post naona umeishatoa hukumu hata kabla ya kubalance story, huo ni upande mmoja wa mwanafunzi,je mwalimu huyo yuko peke yake tuu katka shule hiyo? hakuna mkuu wa shule,makamu,mtaaluma,mwalimu wa nidhamu,mwalimu wa darasa na wadau wengine hadi apigwe picha huko vichochoroni amefikaje hapo?Hizi adhabu za viboko zipigwe marufuku kabisa! Haiingii akilini mwalimu kupiga watoto namna hii kama anapiga mbwa koko. Kama hamna uvumilivu achaneni na kazi hii badala ya kuumiza watoto wetu!
Huyu mwalimu mwehu asakwe popote alipo na apate stahili yake kisheria!View attachment 3260238
reform kwenye katiba kwanza ndo tushuke huku chini sababu waliopo madarakani sio machaguo ya wananchi na hawawajibiki kwa wananchi ,hawana weledi na ujuzi katika nafasi zao ndomaana wanahamishana kila kukicha,wanaotutawala sifa yao ni kkk,kazi kusema tuu ndioooooooooooTunaposema mfumo wa elimu hauko sawa tunamaanisha kwa upana mkubwa sana aisee
Ni hatari wanafunzi kufundishwa na walimu wenye stress za maisha, Ni hatari wanafunzi kufundishwa na walimu wasio na mbinu za kuishi na wanafunzi matokeo yake hutreat wanafunzi kama mbuzi.
Mfumo wa elimu unahitaji reform kubwa kuendana na kasi ya maendeleo ya Dunia.
Zigo hili la kumuadhibu mwanafunzi bila shaka Serikali itamuachia mwalimu na hata kumfungulia mashitaka au hata kumfukuza kazi ilihali yenyewe ndio inapaswa kuwajibishwa kwa kusajiri walimu wasio na mbinu za kuishi na wanafunzi.
Wanashiriki kuiba kura ili ccm ishinde ukiwauliza wanakwambia " wana vapo"Hasira ya kuitwa kwenye semina isiyokuwa na malipo huku ukitumia pesa zako takribani 25k kwa ajili ya nauli na chakula.
No reform, poor electionreform kwenye katiba kwanza ndo tushuke huku chini sababu waliopo madarakani sio machaguo ya wananchi na hawawajibiki kwa wananchi ,hawana weledi na ujuzi katika nafasi zao ndomaana wanahamishana kila kukicha,wanaotutawala sifa yao ni kkk,kazi kusema tuu ndiooooooooooo
Watoto wanafanyiwa ukatili mkubwa sana .Hizi adhabu za viboko zipigwe marufuku kabisa! Haiingii akilini mwalimu kupiga watoto namna hii kama anapiga mbwa koko. Kama hamna uvumilivu achaneni na kazi hii badala ya kuumiza watoto wetu!
Huyu mwalimu mwehu asakwe popote alipo na apate stahili yake kisheria!View attachment 3260238