Waalimu acha kuhamishia hasira zenu kwa watoto wetu, Rais Samia yuko pale pambaneni naye.

Sikiliza vizuri hiyo clip!
 
Sengerema gani hiyo...chaka ipo?
 
makahaba tuu hao,kwann wameshindwa kwenda kwa mkuu? kama wamepigwa mtaani ili kuongeza uzito wa case je utajuaje?
Kwa kuwa wewe ni kahaba huwezi kufikiri zaidi ya huo ukahaba wako!
 
Iiih jela kabisa loooh !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…