Waalimu kuboreshewa mishahara

Kumbe kuna Bodi ya Mishahara! Hivyo viwango vikilipwa, dunia itashtuka kwa kishindo kikuu. Hata ndege wa mwituni wataimba kwa furaha. Ni vigumu mnooooo.... Hii ni fantasy!
 
Waboreshe wakati wengine bado hawajalipwa mwezi uliopita hizo siasa wakiboresha mi naenda kunya ikulu.
 
Inawezekana vip hilo ongezeko litekelezwe mwezi wa 4 ikiwa mwaka wa bajeti bado? ungesema kuanzia Julai,angalau 'uzushi' wako ungekuwa na kaukweli kwa mbaali
 
Ikitokea nitaongeza kasi ya ufundishaji hata weekends nitahudhuria kuwafundisha bila kuambiwa.lhkizo pia naacha niwafundishe vijana eti.mungu weka mkono yatimizwe na serikali yetu.kikwete sikiliza usikie vizuri.amen.("naas loowale orio")
 
ikitokea hvyo nahama Tanzania.kwa serikali hii ya manyang'au?
 
Inawezekana vip hilo ongezeko litekelezwe mwezi wa 4 ikiwa mwaka wa bajeti bado? ungesema kuanzia Julai,angalau 'uzushi' wako ungekuwa na kaukweli kwa mbaali

Bora umehoji mapema. Kuna mambo mengine ni ndoto kutokea Tanzania. Ngoja mwisho wa mwezi ufike.... Muda utaumbua mtu.
 
:yo:Inanikumbusha nilivyokuwa mdogo, mama alikuwa akiniambia 'nyamaza mwanangu nitakununulia gari japo ni ngumu geto hakuna hata baiskeli.Watz wenzangu, mabadiliko ya posho na mishahara kwa wabunge sawa ila si kwa walio wafundisha!!!!!!!!!!!
 
Yote yanawezekana, eeeh mungu baba fanikisha zoezi hilo hapo juu ili waalimu wetu wawe na maisha mazuri pia wakose visingizio, amina. Tusubiri tuone
maisha hayawezi kuja gharama za maisha zinapanda daily leo tu mshikaji kaja kupandisha kodi ya pango kutoka sabini elfu kwenda laki moja
 

Kwa bajeti ipi? maana bajeti hupitishwa kila mwezi july!
 
Teh teh teh, kaazi kweli kweli...mshahara wa walimu kupanda kwa kiasi hicho ni ndoto.
 
Waboreshe wakati wengine bado hawajalipwa mwezi uliopita hizo siasa wakiboresha mi naenda kunya ikulu.

wazuie mfumko wa bei mimi naona hata wakito m6 nauli ya daladal itakuwa 1.5 itakuwa haijasaidia kitu. mfumko wa bei ndo shetani wa maisha tz wala siyo mishahara
 
WIZI MTUUUPU...
Si mnakumbuka wakati ule, yule mtu alipokuwa anaomba kura za kuingia madarakani, akaahidi mishahara minono kwa wafanyakazi wa serikali, lakini mpaka leo zimebaki story, tulichokishuhudia ni POSHO ZA WABUNGE KUPANDA...

TAFAKARI... CHUKUA HATUA...

Kuishi kwa tetesi ni sawa kusubiri Meli Ubungo!
 
unafikiri baada ya miaka 5 nani atabaki mashuleni kufundisha uku ukipanda baiskeli km 20 kwenda kazn hakuna k2 kama hicho wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…