Waalimu kuboreshewa mishahara

haya sasa ni asilimia 23.5 tu. na mwenye E nde atakaribia 900,000 ie 889,000 mleta thread hii mzushi. na hii ni kabla ya makato uzi hatimae mumeukimbia. ikikatwa hakibaki kitu

23.5% ni ongezeko la fungu la mshahara kwa watumish ktk bajet ya 13/14 na sio katika madaraja ya mishahara ya kila mtumishi!. Tusubir ngoma bado mbichi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…