WAALIMU mliopitia JKT acheni kuwapigisha adhabu za kijeshi wanafunzi. ndio maana mnaua!

WAALIMU mliopitia JKT acheni kuwapigisha adhabu za kijeshi wanafunzi. ndio maana mnaua!

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Ukiangalia vifo vingi vya wanafunzi ambavyo vinasababishwa na waalimu vinatokana na kupewa adhabu au kipigo nje ya utaratibu wa kawaida wa fimbo.
nawatahadharisha tu walimu kuwa maeneo yaha ambayo nayataja hapa ni hatari sana kupiga hasa kwa watoto wadogo

1. kupiga NGWALA, hii inapelekea mtoto kufikia kISOGO! uwezekano mkubwa akapasua fuvu kwa nyuma na hatimaye kufa
. 2. Kupiga UPANDE wa kushoto KIFUANI!
eneo hili linatunza MOYO! watoto wanamioyo laini! na pindi inapotingishwa jiandae KUUA

3. MGONGONI: huku kuna SPINE! yaani uti wa mgongo! ukikpiga vibaya mwili unakata mawasiliano na miguu na mwishowe kulemaa au kufa

4. KUKUNJA mtoto kwa aina yoyote ile kunaweza kuleta madhara makubwa kwa kuvunja viungo kwa kulazimishwa

5. KUKABA: walimu mna tabia ya kumuwekea mtoto mguu shingoni ili asifurukute! hapa unaua dk moja tu

6 : KUPIGA FIMBO KICHWANI: Huki kuna macho, pua na Ubongo! ukipiga vibaya tu umeleta majanga

sheria inataja viboko.tena idadi haizidi 4

sasa kuna waalimu wanachapa kama wanaua nyoka! je mnadharau serikali?


Angalia mfano habari hii ya gazeti la mwananchi, mwalimu Rombo inaonekana alipiga mtoto kata funua akaua



Angalizo: mimi atakayeua mwanangu kwa adhabu! situmuacha salama hata kama atakiwa ndani ya nondo za segerea! nitahakikisha anapata uchungu ule ule aliokuwa anapata mwanangu!
 
Matoto yenu matukutu sana, juzi kati hapo kuna ticha kule tegeta alipigwa vusu na mwanafunzi.
Kachapwa fimbo mbili kakimbilia nje kumbe kaenda chukua kisu kaja kumkita nacho ticha mara tatu mpaka umauti ukamfika.

Sasa toto kama hili kwanini usilipige kata funua, juzijuzi tena kuna madogo wamemtia visu ticha alieenda kuwaamsha wakaswali.

Mitoto ni mitukutu, haitaki kufata sheria za shule ukiiadhibu mnauana. Bora mkae nayo muifundishe hukohuko ila mkiileta shule tutaicharaza bakora kisawasawa kama kuuana tuuane tu.
 
Matoto yenu matukutu sana, juzi kati hapo kuna ticha kule tegeta alipigwa vusu na mwanafunzi.
Kachapwa fimbo mbili kakimbilia nje kumbe kaenda chukua kisu kaja kumkita nacho ticha mara tatu mpaka umauti ukamfika.

Sasa toto kama hili kwanini usilipige kata funua, juzijuzi tena kuna madogo wamemtia visu ticha alieenda kuwaamsha wakaswali.

Mitoto ni mitukutu, haitaki kufata sheria za shule ukiiadhibu mnauana. Bora mkae nayo muifundishe hukohuko ila mkiileta shule tutaicharaza bakora kisawasawa kama kuuana tuuane tu.
Unaliacha lifunzwe na ulimwengu, kwani likiwa halina nidhamu we ticha unakatwa mshahara?
 
Ukiangalia vifo vingi vya wanafunzi ambavyo vinasababishwa na waalimu vinatokana na kupewa adhabu au kipigo nje ya utaratibu wa kawaida wa fimbo.
nawatahadharisha tu walimu kuwa maeneo yaha ambayo nayataja hapa ni hatari sana kupiga hasa kwa watoto wadogo

1. kupiga NGWALA, hii inapelekea mtoto kufikia kISOGO! uwezekano mkubwa akapasua fuvu kwa nyuma na hatimaye kufa
. 2. Kupiga UPANDE wa kushoto KIFUANI!
eneo hili linatunza MOYO! watoto wanamioyo laini! na pindi inapotingishwa jiandae KUUA

3. MGONGONI: huku kuna SPINE! yaani uti wa mgongo! ukikpiga vibaya mwili unakata mawasiliano na miguu na mwishowe kulemaa au kufa

4. KUKUNJA mtoto kwa aina yoyote ile kunaweza kuleta madhara makubwa kwa kuvunja viungo kwa kulazimishwa

5. KUKABA: walimu mna tabia ya kumuwekea mtoto mguu shingoni ili asifurukute! hapa unaua dk moja tu

6 : KUPIGA FIMBO KICHWANI: Huki kuna macho, pua na Ubongo! ukipiga vibaya tu umeleta majanga

sheria inataja viboko.tena idadi haizidi 4

sasa kuna waalimu wanachapa kama wanaua nyoka! je mnadharau serikali?


Angalia mfano habari hii ya gazeti la mwananchi, mwalimu Rombo inaonekana alipiga mtoto kata funua akaua



Angalizo: mimi atakayeua mwanangu kwa adhabu! situmuacha salama hata kama atakiwa ndani ya nondo za segerea! nitahakikisha anapata uchungu ule ule aliokuwa anapata mwanangu!
Upo sahihi,

ila watu wengi Wana us*nge , Jambo akifanyiwa mwalimu wanaona sawa , akifanyiwa mtoto hata Jambo likiwa dogo utakuta malalamiko na nyuzi kibao
 
Matoto yenu matukutu sana, juzi kati hapo kuna ticha kule tegeta alipigwa vusu na mwanafunzi.
Kachapwa fimbo mbili kakimbilia nje kumbe kaenda chukua kisu kaja kumkita nacho ticha mara tatu mpaka umauti ukamfika.

Sasa toto kama hili kwanini usilipige kata funua, juzijuzi tena kuna madogo wamemtia visu ticha alieenda kuwaamsha wakaswali.

Mitoto ni mitukutu, haitaki kufata sheria za shule ukiiadhibu mnauana. Bora mkae nayo muifundishe hukohuko ila mkiileta shule tutaicharaza bakora kisawasawa kama kuuana tuuane tu.
Haya matukio huwezi kuyakuta shule kama Feza, Tatizo ni nini kwani ?
 
Haya matukio huwezi kuyakuta shule kama Feza, Tatizo ni nini kwani ?
Hizo shule hakuna viboko, watoto wa matajiri wale wanaelewa wajibu wao.

Hata hivyo hizo shule ukileta hizo pigo kufukuzwa ni rahisi tofauti na shule za serikali kuna mlolongo mpaka ufukuzwe shule. Mwanafunzi akiwa darasa la mitihani ndo kabisaaa akifukuzwa mkuu wa shule utajibia kwa barua kadha wa kadha.
 
Unaliacha lifunzwe na ulimwengu, kwani likiwa halina nidhamu we ticha unakatwa mshahara?
Sasa ni zamu yako hilo wiki, unatakiwa kuhakikisha wanafunzi wote wametoka bwenini wapo madarasani.
Umeenda bwenini unakuta wanafunzi wapo huko na hawana mpango wa kwenda class, unafanyaje??
Unawaacha kisa wewe mshahara hautapungua??

Kuna vitu hata kama wewe ni mwalimu wa kupotezea ila kuna baadhi inabidi uwajibike kama mkataba wako wa kazi unavyotaka la sivyo kesi itageuka kua wewe eidha unapewa rushwa na wanafunzi au unatembea na wanafunzi au mzembe na mvivu.
 
73794fa9-308a-4904-95bc-f540a6517c36.jpg
 
Kule wanalelewa kimayai kutokana na Ada, kule maongezi mwalimu wanafunzi wanakuwa marafiki,tu Mambo ya mifimbo, adhabu hakuna.



Kule waiishini ile zana ya “ Mteja ni Mfalme” [emoji3][emoji28]

Sio huku kajamba nani kwenye Eti mteja Ndiyo anasakamwa na kupigwa wakati mwingine kufanyishwa kazi za walimu majumbani mwao mfano, kwenda kuchoma Maji mbali , kutafuta kuni, kufua , kudeki , kupika , kutwanga n.k.


Walimu mnakosea sana!

Na wazazi ni wajinga wala hawajui kama ni makosa walimu kuwafanyisha hivyo watoto wa watu.

Mwanafunzi sio mfanyakazi wako wa ndani.
 
Kule waiishini ile zana ya “ Mteja ni Mfalme” [emoji3][emoji28]

Sio huku kajamba nani kwenye Eti mteja Ndiyo anasakamwa na kupigwa [emoji57]
Hapo chacha, uzuri hizo shule wakiweka mabonanza wanakaribisha watu kwenda kutembea,, wanafanya tombola, swimming Galla, Halloween party, kwa hiyo kajamba Nani ndo tunaona shule zao.
 
Sasa ni zamu yako hilo wiki, unatakiwa kuhakikisha wanafunzi wote wametoka bwenini wapo madarasani.
Umeenda bwenini unakuta wanafunzi wapo huko na hawana mpango wa kwenda class, unafanyaje??
Unawaacha kisa wewe mshahara hautapungua??

Kuna vitu hata kama wewe ni mwalimu wa kupotezea ila kuna baadhi inabidi uwajibike kama mkataba wako wa kazi unavyotaka la sivyo kesi itageuka kua wewe eidha unapewa rushwa na wanafunzi au unatembea na wanafunzi au mzembe na mvivu.
Mimi namuacha.
Akichuma janga akale na nduguze.
 
Sasa ni zamu yako hilo wiki, unatakiwa kuhakikisha wanafunzi wote wametoka bwenini wapo madarasani.
Umeenda bwenini unakuta wanafunzi wapo huko na hawana mpango wa kwenda class, unafanyaje??
Unawaacha kisa wewe mshahara hautapungua??

Kuna vitu hata kama wewe ni mwalimu wa kupotezea ila kuna baadhi inabidi uwajibike kama mkataba wako wa kazi unavyotaka la sivyo kesi itageuka kua wewe eidha unapewa rushwa na wanafunzi au unatembea na wanafunzi au mzembe na mvivu.
Unafuata utaratibu za kinidhamu apewe suspension au atimuliwe shule simple
 
Back
Top Bottom