Waalimu ni kundi la watumishi wanaoshangilia kila wanachoambiwa na mwanasiasa. Wakiambiwa wao ni kada maskini wanapiga makofi

Waalimu ni kundi la watumishi wanaoshangilia kila wanachoambiwa na mwanasiasa. Wakiambiwa wao ni kada maskini wanapiga makofi

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
 
Kila kitu kipo programmed ili kuongoza watu wengi wasio na uwezo wakufikiri sawasawa.

Hii post mwalimu akiiona ata scroll down, ila akisikia mama anakuja kesho kuongea na nyie, utamkuta yuko siti namba moja yeye ni kuimba na kusifu mwishowe arudishwe mpaka shuleni alipochukuliwa story imeisha..
 
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
Sijawahi hata siku moja kuwaelewa watu mnaosumbuka na maisha ya watu wengine. Ni jana tu kuna mwenzako mwingine naye amecopy na kupaste huko hoja fulani ya kuwakejeli wakufunzi wetu wa vyuo vikuu yenye kichwa cha habari hii ndiyo miradi ya Maprofesa wetu wa Bongo!!

Hakika nilijiuliza maswali menhi sana yasiyo na majibu kuhusu sisi Watanzania. Hivi hatuwezi kabisa kuwekeza nguvu kubwa kwenye kuyapambania zaidi maisha yetu, kuliko kuumiza vichwa kuyajadili maisha yawahusuyo watu wengine wasio tuhusu?

Nihitimishe kwa kukuuliza swali dogo tu; kuishi kwao maisha duni ya kinafiki, kuna kuathiri vipi wewe mfanyakazi wa TRA? Nadhani tunatakiwa tubadilike.
 
Mh Rais usiishie kwenye kubalance vyeo tu lipeni na malimbikizo ya walimu
wetu na watumishi wengine wa umma hasa wa kada za chini ili shughuli za maendeleo katika mamlaka za serikali za mitaa zipate msukumo zaidi.Mama Samia umejaa utu na una nia njema na watumishi wa umma ambao walidharauliwa kwa karibu miaka 7 enzi zile za ujima
 
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
Udumu mwalimu uliyekataa unhonge Mpwayungu Village
 
Endeleeni kuwabaghaza na kuwadharau.


Kuna barua katibu wa TSC kwenda Kwa Makatibu wasaidizi TSc wilaya imeanza kusambaa jioni hiii......


Mwakani walimu watakuwa wanaendesha ndinga, kuwagongea wake zenu nk.



Kiufupi Kuna uhakiki wa vyeo ambavyo mwendakuzim aliwadhurumu.


Mama anatia madaraja ya mserereko.

Utekelezaji ukamilike 27-10-2023.


1 April 2024 msianze tena kuilamu serikali imewamwagia matucha noti, na hotuba ya meimosi 2024 Maza atakuwa anashangiliwa tu uwanjani.


Ajira za 2012-2015 ndio walinyanyadwa zaidi na shwetaani wa afrika.
Hayakuanza leo haya

Tushwa za uchaguzi zinaendelea kutamalaki
 
Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.
Hi ni zama ya wanafunzi kuwa na ufahamu zaidi kuliko walimu wao, waongozwa kuwa na uelewa na ufahamu zaidi kuliko viongozi wao, wananchi kufanya mambo makubwa ya kimaendeleo kuliko serikali yao, abiria kuwa na uelewa zaidi wa sheria na kanuni za usalama barabarani kuliko madereva wao
 
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
Umeandika vyema mkuu, unyanyasaji ulioko kwa walimu kuanzia msingi mpaka sekondari sidhani kama hata bodaboda wanaweza kukubaliana nao.
 
Endeleeni kuwabaghaza na kuwadharau.


Kuna barua katibu wa TSC kwenda Kwa Makatibu wasaidizi TSc wilaya imeanza kusambaa jioni hiii......


Mwakani walimu watakuwa wanaendesha ndinga, kuwagongea wake zenu nk.



Kiufupi Kuna uhakiki wa vyeo ambavyo mwendakuzim aliwadhurumu.


Mama anatia madaraja ya mserereko.

Utekelezaji ukamilike 27-10-2023.


1 April 2024 msianze tena kuilamu serikali imewamwagia matucha noti, na hotuba ya meimosi 2024 Maza atakuwa anashangiliwa tu uwanjani.


Ajira za 2012-2015 ndio walinyanyadwa zaidi na shwetaani wa afrika.
Huu ndo ule ujinga uliojaaa kichwani
Yaani bila kupambana na kufanya kazi ya ziada walimu hawawezi kutoboa
 
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
NIUSHETANI KUWAONGELEA WALIMU MANENO MACHAFU NA DHALILI,IMEKUWA SIFA KUWATUSI WALIMU WANAOHANGAIKA NA WATOTO WETU MASHULE I. WALIMU HAWANAMUDA WAKUSIMAMIA BIASHARA ZAO WAMEKUWA WAKITUMIA MUDA WAO MWINGI KUWAFUNDISHA WATOTO WETU,KISTAARABU TULIPASWA KUWAPA HESHMA YAO NA KUWASAIDIA KUFIKIA HAKI ZAO ZINAZOKANDAMIZWA NA WATAWALA DHALILI.
AJABU MPUMBAVU ANADHANI WALIMU HAWA WANGEAMUA KUINGIA MTAANI FULL WASINGEPATA UTAJIRI/ MAISHA YAJUU... NANI ANGESAIDIA HII ELIMU BURE HUTOI HATA MIA??
MWALIMU KUANZIA SAA MOJA HADI SAA KUMI JIONI ANAKULELEA MTOTO WAKO KICHWA NGUMU NAKUMTOA MAKAMASI,MIKOJO,MAVI,UJINGA,KIBURI KUSUDI BAADAE AJE KUKUNUFAISHA WEWE MZAZI WAKE LAKINI HAUNA SHUKRAAN.
UNAYETAKA WALIMU WAGOME UNAKUWA MJINGA KULIKO TOTOLAKO...LEO WAKIGOMA MTOTO WAKO AKARUDI NYUMBANI UTAKAA NAE KILASIKU KUMFUNDISHA MASOMO YOOTE NA USTAARABU NA NIDHAMU WEWE? HATAISHIA KUVUTA BANGI NA WASICHANA KUDANGA?
WATU WASTAARABIKE WAKULAUMU NI VIONGOZI WABOVU WASIOJALI MASLAHI YA ELIMU NA WALIMU TENA WAZAZI NDIYO TUNGESAIDIA WALIMU KUANDAMANA KWANIABA YAO WAO WAENDELEE NA WATOTO WETU.
NYIE MAZEZETA WABEBA LAANA MNAOTUSI WALIMU KILA KUKICHA MSHIKE ADABU NA MKOME KAMA MLIVYOKOMA KULALA KITANDA KIMOJA NA WAZAZI WENU...NISISKIE TENA KUANZIA LEO MWALIMU AKITUKANWA NA MTOA POSTI AFUTE KABLA SIJAKASIRIKA 🤬🤬🤬
Binafsi nimewahi kuwa huko nikaacha baada ya kuchapika mpaka chupi zilitoboka...nlikopa nkatimka saiv sihaba navibiashara vinaniweka viti virefu hata asubuhi nikiamua,enzi zile nlikuwa nagongea bia saiv nakunywa mi-wine yabeii na totoz zakishua😋
 
Yaani wewe uliyeanzisha huu uzi ndiye hujitambui, kwa hiyo unadhani unaweza kupitia mgongo wa walimu kuelezea stress zako.?

Hebu tafuta pesa na kujali maisha yako, hili suala la kuchunguza maisha ya watu binafsi na kutuletea humu jf ni Ufacebook kama ulivyo utoto mwingine.
 
Waheshimuni waalimu,wametufundisha na kutukuza binafsi siwadharau hawa watu
 
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
Kwanza nashangaa Wanasiasa kutaja taja walimu kama kwamba hao ndio Watumishi pekee wenye Changamoto hapa Tanzania.

Kwamba walimu ndio maskini kuliko Watumishi wengine au? Stupid
 
Mwalimu ni mtu mwenye dhamana yakuondoa ujinga kwa wengine lakini hana uhakika kama yeye amejiondolea ujinga.

Mwalimu ni mtu yupo radhi kumchapa mwanafunzi asiyeelewa ili aelewe lakini yeye mwenyewe hana uhakika kama anaelewa anachotakiwa kukifanya kama kioo cha anaowafundiasha.

Mwalimu ni mtu asiyependa kukosolewa au kuulizwa maswali ila yeye angependa kuuliza maswali ikiwa ni sambamba na kutunga mitihani kwa lengo kumkomoa mwanafunzi asifaulu

Waalimu wengi wana elements za binadamu aina ya Idiot na tribalistic huku wachache hasa wanaofundisha international schools na private wakiwa ni citizens.

Kwa kuwa waalimu wamejiweka kwenye kundi la Idiot na tribalistic basi wanavuna mazao ya maslahi duni na ahadi hewa kwa watawala. Na kwa kuzingatia kundi kubwa lilipo ndipo umkuta mwalimu akiendelea kuishi kwenye ufukara akiaminishwa umaskini na maslahi duni ndio uzalendo.

Leo wameambiwa waandike tena changamoto zao huko kanda ya ziwa. Walivyo shangilia ni kama vile walikuwa hawana fursa ya kuandika hizo changamoto. Napenda kuwakumbusha kwamba hata ripoti na maombi yao siku ya mei mosi bado hakuna utekelezaji .

Waalimu mnapoambiwa ninyi ni jeshi kubwa tumieni wingi wenu pia kudai haki zenu. Acheni kuishi maisha duni ya KINAFIKI....minyi pia niwatumishi kama walivyo TRA na wengine.
Mkuu umetuhumu na kukashifu walimu jumla jumla. Tuambie walimu wepi unaowazungumzia. Je ni walimu wa chekechea, msingi, upili, vyuo, vyuo vikuu, dini, ufundi na kadhalika. au ni wa Tanzania au nchi gani?
 
Endeleeni kuwabaghaza na kuwadharau.


Kuna barua katibu wa TSC kwenda Kwa Makatibu wasaidizi TSc wilaya imeanza kusambaa jioni hiii......


Mwakani walimu watakuwa wanaendesha ndinga, kuwagongea wake zenu nk.



Kiufupi Kuna uhakiki wa vyeo ambavyo mwendakuzim aliwadhurumu.


Mama anatia madaraja ya mserereko.

Utekelezaji ukamilike 27-10-2023.


1 April 2024 msianze tena kuilamu serikali imewamwagia matucha noti, na hotuba ya meimosi 2024 Maza atakuwa anashangiliwa tu uwanjani.


Ajira za 2012-2015 ndio walinyanyadwa zaidi na shwetaani wa afrika.
Wewe kweli ni Mwalimu. Na unaonekana ni mpumbavu tani 10,000.

Unaongea utafikiri haya matumaini ya kipumbavu yameanza Jana.

Na CCM inawajulia kweli
 

Attachments

  • Polish_20230716_063813009.jpg
    Polish_20230716_063813009.jpg
    159.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom