Waalimu: Usome usisome, Ufaulu usifaulu Mimi mshahara wangu upo palepale

Daah, walimu wa hivyo walikuwa wanatupa kichwa Sana ,somo lake unadoji, hakuna kufanya mitihani na hamna viboko.
Kabisa Yani. Na ndo mwalimu pendwa kuliko wote wa namna hiyo.

Kuna mwalimu siku Moja kidogo shule iishe ukienda kuomba ruhusu tu ana kuambia you may God😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…