Official Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Jamani naombeni msaada wa kisheria kuhusu sisi waalimu wa halmashauri ya bagamoyo tumekatwa mishahara yetu eti kwa ajili ya ujenzi wa maabara shule za kata. Hili limekaaje kisheria na tufanyaje, hasa ukizingatia cwt ni butu?