Ile bilion600 itakaporudishwa labda ndo watapata subsistence allowance. Huku jiji la Arusha yaani wamegoma kutupandisha madaraja wanatupiga tu tarehe yaani hii inauma sana.
kweli serikali hii imefilisika kuna mdogo wangu amepangiwa ukerewe kanambia pesa ya kujikimu wamepewa laki moja tena baada ya kushinikiza sasa katika hali ya sasa laki nikitu gan?
Ile bilion600 itakaporudishwa labda ndo watapata subsistence allowance. Huku jiji la Arusha yaani wamegoma kutupandisha madaraja wanatupiga tu tarehe yaani hii inauma sana.
Mkuu subir inawezekana madaraja tutapandishwa hiv karibun mana wahusika wa kupandisha madaraja ni TSD hlf ndio walikaa kikao tarehe 7 mwez huu ivyo nazan inatakiwa usubir barua ya kupandishwa daraja. NI MTAZAMO TU LKN SIO YA KIOFISI MKUU