BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Waalimu wapya wengi hawajapewa hela ya kujikimu kuna uwezekano mkubwa wa watu kutopata mshahara mwezi huu.
Na wengi na wameambiwa warudi wa7 shule zitakapofunguliwa. Na kuna tts kua mshahara hadi wa7.ukitazama upande mwingine vyuo vikuu wanagoma hawajapewa.
Kuna hali ya hewa mbaya Dalili ya mvua ni?
Na wengi na wameambiwa warudi wa7 shule zitakapofunguliwa. Na kuna tts kua mshahara hadi wa7.ukitazama upande mwingine vyuo vikuu wanagoma hawajapewa.
Kuna hali ya hewa mbaya Dalili ya mvua ni?