BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Habarini wote, Nilianza kazi 2008 katika sekondari wilaya ya BAGAMOYO huko PWANI, na nikafanya kazi miaka4. Mwaka 2011May, nikaomba chuo kikuu na mwezi wa7 nikapata barua ya kuhama ndani ya wilaya Kuhamia huko chalinze.Nikaripoti kituo kipya na mwezi wa9 nikaitwa chuo. Mwezi wa5 2011 niliomba ruhusa ila sikujibiwa. Nikatoa taarifa nikanyimwa ruhusa,na nikaondoka. Tangu nianze first year sijapata salary hadi leo na sina barua yoyote, nimefika TSD wilaya wanadai hawana taarifa,na nikaenda kwa mkurugenzi nikaambiwa DEO ataitwa na afisa utumishi.Sikupewa muafaka nikaondoka mana mitihani chuoni ilikaribia mwaka jana. Na pia nilikua mbali sana na huko.Na mwaka juzi katika usajili wa watumishi nilienda na jina lilikuepo.Nimesoma kwa mkanda na bado miezi3 nihitimu.Jana nimepiga simu nimeambiwa nikimaliza nirudi maana makosa yalifanyika kiofisi kutokujibiwa barua mapema.3year hapa bado wiki2 tujaze mikoa ya kazi ,napata shida kua nikirudi watanifungulia hela au nijaze upya kazi?Naomba majibu ya hekima na yatoke kwa waalimu tu tafadhali.!!. 0759063942, facebook-Bumija Phd, kwa maulizo zaidi na pia mwandiko ndio huo mana natumia mobile na ni born before computer samahani kwa hilo.