BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Waalimu nilienda kusoma bila ruhusa na nimeripoti toka 8/8/2014 na niliandika barua ya kurudishwa kwe payroll na ikapitishwa na Mkurugenzi na akapeleka suala langu TSD.Nimewasiliana na DEO kua nibaki au niondoke kazini akadai nimwone afisa utumishi.Nikamuona afisa TSD akasema wanaangalia sheria na hawataki waegemee kwa mkurugenzi wala mimi.TSD wamedai wanakusanya vielelezo kua kwa nini nilifungiwa mshahara.Hadi leo sina barua ya onyo na kusimamishiwa salary na faili langu halipo nimefungua jipya.Je nitegemee nini hapa kwa hali hii?