Mama karudi nenda kashtaki
umetishaMkuu mnatakiwa muwasindikize waarabu warudi kwao, kama mlivyowapokea.
Leo kapigwa Mwarabu na Mkewe.
Yaani sisi ituume kisa Yanga kacheza na vilaza ambao timu yetu ya taifa ili wapiga 8-1 hao al-shabab.Imewauma Sisi Kucheza Na Somalia Kwa Ajili Ya Kuanzisha Michango Nchini Ya Kusaidia Watu Wenye Magonjwa Adimu Kama Ya Ali Kimara, Basi Tuwape Nyie ile Ngao Ya Jamii Maana Ni Kama Mnataka Kutupangia Cha Kufanya.
Unataka tujadili nini?, kwani mama kurudi sio hojaSasa mbona hamjadili zaidi ya mipasho?
HUO NDIO UKUBWA WA TIMU. SIMBA SIO NAMUNGO NOWKwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba) yameendelea tena leo pale kwa Mkapa. ......watu wamenyimwa penati na pia goli lao limekataliwa. Wala huhitaji kurudia kuangalia matukio hayo zaidi ya mara moja. Ikumbukwe kuwa ktk ligi ya NBC kumekuwa na utata mwingi wa kimaamuzi dhidi ya timu pinzani zinapocheza na Simba. Leo hata wachambuzi hawajatofautiana katika ruling ya matukio husika. Clear goal, clear penati
Nimeanza kuogopa
Haikuwa ofside ile baada ya kuona marudio, na hawaizungumzii. Wala Simba hawalalamiki.Unakumbuka Medie Kagere alichomoka akawa kabaki yeye na Kipa lkn mwamuzi wa pembeni akaamuru kaotea?
Kwenye marejeo ilionekana alikuwa onside kwahiyo ngoma draw
Inawauma Ndio Sisi Kufanya Jambo Kama Lile Ndo Maana Mnatudhihaki, Sisi Tunatimiza Wajibu Wetu Ndani Ya Jamii Kama Timu Ya Wananchi Na Mabingwa Wa Ngao Ya Jamii...Au Mnataka Tuwape Nyie ile Ngao?Yaani sisi ituume kisa Yanga kacheza na vilaza ambao timu yetu ya taifa ili wapiga 8-1 hao al-shabab.
Sisi tunafurahi Yanga nae anashiriki kimataifa ambapo kundi lake ni Somalia, Urusi na Ukraine.
Inawauma Ndio Ndo Maana Mnatudhihaki, Sisi Tunatimiza Wajibu Wetu Kama Timu Ya Wananchi Na Mabingwa Wa Ngao Ya Jamii...Au Mnataka Tuwape Nyie Ile Ngao?Sasa mzee na wewe Somalia itamuuma nani?
π π π
Poa poa wife angu
Poa poa wife angu
Huyo mwamuzi ana bahati sana. Wanaberkane wangemchapa sana. Kwa upande wangu lile ni goli haswaa na wala co offside
Goli halari ni lile la Rivers United.
La hapa na ugenini, moja tu.
Haikuwa ofside ile baada ya kuona marudio, na hawaizungumzii. Wala Simba hawalalamiki.
Wanaolalamika ni BongoBarkane fans
Hivi timu ya wanachi inaondoka lini kwenda Mogadishu kwenye mechi ya marudiano na Somalia worries.